Mwanaume fanya unachofanya lakini hakikisha tarehe 28 Novemba unakuwa Mtwara mjini

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Usije sema hukujua.

Siku hiyo akina Zai watakuwa kama wote.

Halafu kama mtakodi gari kutoka Dar kwenda Mtwara hakikisheni mnakuwa na UMOJA, mwenzenu akipigwa gari zima mnakuwa MASOJA.

N.B: palikuwaga panaitwa "MTWARAHA" Nyerere akaikata hiyo RA ili ibaki Mtwara maana alijua watanzania wote wangekumbilia Mtwara.

Jina MTWARAHA linatoka na Mlima WARAHA unaopatikana Mtwara . So waingereza waliwatoa "MOUNTWARAHA" wamakonde wakashindwa kutamka hivyo wakawa wanapaita " MTWARAHA" then baadae Nyerere akaja akaifuta Raha ikabaki Mtwara. Hata raha bado zipo pale pale Mtwara.

Mtwara- Raha

 
Ndugu yangu likud naomba uingiie inbox tafadhari.
 
Mkuu ulikuwepo kwenye kikao cha 16 cha wanaume?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…