Mwanaume hakikisha hukosi vitu kama hivi kwenye hazina yako

Mwanaume hakikisha hukosi vitu kama hivi kwenye hazina yako

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Kesho nasafiri kwenda Nyanda za Juu Kusini na kisha nitakwenda Kigoma, mojawapo ya vitu vya muhimu siwezi kuacha ni hivi hapa chini.

Mwanaume hakikisha hukosi hivi vitu kwenye hazina yako uendapo popote.

NB: KY ni kwaajili ya kulainisha kuhakikisha hakuna mchubuko na sina matumizi nayo zaidi ya hilo. Maana short sighted people hamkimbilii kusema hiyo jelly inatumika nyuma kama mlivyokariri wakati ni lublicants ambayo inaweza kutumika kuondoa mchubuko.

20211004_215604.jpg
 
Sahihi kabisaa mkuu! Yaani huu ndo uanamume!
 
Dogo, ungekuwa na mke ungemwambia hiyo KY & co. unapeleka wapi?
 
Hili jeshi sio la nchi hii lina vifaa kamilifu mama…e[emoji1493][emoji1493]


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Majuzi nimeuziwa ndom elfu 10 hapa Sea Cliff kwenye vibanda nje ya geti... tena bora ingekua rough rider,ni dume cndm. Time ilikua imeenda na mgeni akashtukiza,mbaya zaid supermarket ya pembeni hawauzi ndom na jinsi huku palivyo pembeni. Afu jamaa lililoniuzia linaringa kabisa daaaaah...watu wanatelezaga hivihivi bila kupenda yan
 
Back
Top Bottom