Mwanaume hakikisha hukosi vitu kama hivi kwenye hazina yako

Mkuu wewe ni kiboko[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Juzi kati kuna bar maid wangu wa enzi hizo chuo nilikua nakula,after kupotezeana miaka kadhaa ,nimekutana nae,akanikaribisha ghetto kwake kabla sijamla nikaona anavuta droo lake akatoa hizo dhana tukapimana then ikapigwa show moja heavy.
mkuu Kwahiyo ulizibua mtaro? Vipi nanga ilitoka na tope? 😝
 
well noted
 
Nikupime.

Kondomu.

Ky.

Kiukweli siwezi hivyo viwili labda kutumia KY magonjwa ni Allah anapanga
 
Nakuombea ukakutane na pisi imetumika week 3 nyuma ikaungua ukapiga hio bioline ikasoma negative ukapeleka dry ukachubuka uukwae
Kwanini unamuombea mwenzako mabaya?, Unadhani MUNGU anasikia maombi ya namna hii?. Binadamu tupendane na tuombeane mema.
 
Natumae mleta mada ulifanikiwa kutoa miongozo...
 
Hongera sana Mkuu

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Umesahau vumbi mwenyekiti..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…