lakini haipunguzi nguvu ya sperm
Tabia ya wanaume kusuka nywele na kuvaa hereni inapunguza ego ya kiume taratibu, na ndio maana tabia za ushoga kwa wanaume zinaongezeka saba ktk jamii.
Kama mwanaume unajaribu kuiga mambo ya urembo ya wanawake. Kwa sasa wanaume wanatoboa masikio, kesho watatoboa pua na kuvaa cheni mguuni. Kwa hiyo usishangae unajaribu na mambo mengine ya kike yaliyosalia na kuishia kuwa shoga.
Mimi hata tendo la mwanaume kuvaa mikufu shingoni naona ni ulimbukeni tu.