Mwanaume hereni masikioni na msuko wa twende kilioni

Mwanaume hereni masikioni na msuko wa twende kilioni

lakini haipunguzi nguvu ya sperm

Tabia ya wanaume kusuka nywele na kuvaa hereni inapunguza ego ya kiume taratibu, na ndio maana tabia za ushoga kwa wanaume zinaongezeka saba ktk jamii.

Kama mwanaume unajaribu kuiga mambo ya urembo ya wanawake. Kwa sasa wanaume wanatoboa masikio, kesho watatoboa pua na kuvaa cheni mguuni. Kwa hiyo usishangae unajaribu na mambo mengine ya kike yaliyosalia na kuishia kuwa shoga.

Mimi hata tendo la mwanaume kuvaa mikufu shingoni naona ni ulimbukeni tu.
 
Tunapenda kuiga mambo hayana hata msingi hizo n.dalili za.ushoga dume.unasuka??? Unavaa hereni??? Still unajiita mwanaume ahhha hatariii
 
Tabia ya wanaume kusuka nywele na kuvaa hereni inapunguza ego ya kiume taratibu, na ndio maana tabia za ushoga kwa wanaume zinaongezeka saba ktk jamii.

Kama mwanaume unajaribu kuiga mambo ya urembo ya wanawake. Kwa sasa wanaume wanatoboa masikio, kesho watatoboa pua na kuvaa cheni mguuni. Kwa hiyo usishangae unajaribu na mambo mengine ya kike yaliyosalia na kuishia kuwa shoga.

Mimi hata tendo la mwanaume kuvaa mikufu shingoni naona ni ulimbukeni tu.

oooh kwa hiyo kwa lugha nyepesi tu wamasai ni mashoga sababu wamasai wanatoboa masikio na wanasuka.wajamaika wanasuka rasta wake kwa wanaume so wote ni gays
 
Tabia ya wanaume kusuka nywele na kuvaa hereni inapunguza ego ya kiume taratibu, na ndio maana tabia za ushoga kwa wanaume zinaongezeka saba ktk jamii.

Kama mwanaume unajaribu kuiga mambo ya urembo ya wanawake. Kwa sasa wanaume wanatoboa masikio, kesho watatoboa pua na kuvaa cheni mguuni. Kwa hiyo usishangae unajaribu na mambo mengine ya kike yaliyosalia na kuishia kuwa shoga.

Mimi hata tendo la mwanaume kuvaa mikufu shingoni naona ni ulimbukeni tu.

hiko sio kipimo cha uanaume wewe mwanaume wa kweli kwanza aweze kumumudu tendo
 
kusuka au kunyoa ni utamaduni wa watu na maamuzi yao ni private sana hiyo binafsi mnoooo...
 
Back
Top Bottom