MWANAUME INGIA HAPA

Ngoja waume za watu watoke kanisani, wabadili mashati yao ya vitenge kisha wakurudie...... Utakoma!!
 
"Mke wa mtu sumu" --Ngoma ya Ali kiba isikilize upya tenah.

Tumia akili na sio kutanguliza nyege utaishia pabaya mkuu
 
Wakijileta we tafuna tu..kwan hawajui kuwa ni wake za watu?
 
SHida yote yanini na masingle wamezagaa kama kuku wakisasa wai roho juujuu kisa nini nawanatoa kwa hiyari
 
Wewe dogo ni fala sana, why ung'ang'ane na mke wa Mwanaume mwenzio yamkini wanawake ni wengi sana kiliko ata sisi au unatamani kupumuliwa kisogoni?

Kuna single mothers
Kuna wajane
Kuna wanaojiuza
Kuna waliofeli shule n.k n.k

Come on.!!
Mke wa mtu mtamu kuliko hao
 
Wewe dogo ni fala sana, why ung'ang'ane na mke wa Mwanaume mwenzio yamkini wanawake ni wengi sana kiliko ata sisi au unatamani kupumuliwa kisogoni?

Kuna single mothers
Kuna wajane
Kuna wanaojiuza
Kuna waliofeli shule n.k n.k

Come on.!!
Kwanini unaniita dogo..? (Hio strong25 ni nikname tu ) chunga sana kijana
 
Hizo shida zote za nini, tendo ambalo Raha yake haifiki "dk moja" niteseke hivi kama wakala mgambo wa Hamas na Hizbolla ?
 
Hizo shida zote za nini, tendo ambalo Raha yake haifiki "dk moja" niteseke hivi kama wakala mgambo wa Hamas na Hizbolla ?
Utamu wa-pilipili iwashe mpaka utoke machozi
 
Ulichoandika hakitawahi kukusaidia zikitimia 40, kilicho bora ni kutodate wake za watu ukajiepusha na majanga yasiyo na ulazima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…