Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikumiss aisee sio kwa kupotea hukuKhaaa!!!!
Nilikumiss aisee sio kwa kupotea huku
Nipo aisee naparangana hata sijielewiUpo shogangu?? Mbona kimya hivohivo jaman what's wrong mamii??
Sio kila mwanamke afaa kuwa mke.Wanaume wanaowatukana wake zao eti MPUMBAVU,unamwambia mkeo mpumbavu,wewe unajiona mjanja sana,amekuzalia,anatunza family alafu unamtuka,mmmmmchi wananikera sana
@Miss natafuta unachezea bahati.Kila mwanamke ili atulie kabisa,anaitaji wanaume wa aina tatu.
1.Anaeujaza moyo wake,yaani hata akinywa maji anamuona mwanaume anaempenda yaani wanaita true love wake
2 .Mwanaume muhongaji wenyewe wanaita buzi yaani buzi linaclear majanga yote incase of emergency miamala inasomeka fastafasta Mpesa ATM etc.
3.Mume wa kumuweka ndani na kulea watoto wa kumpa home nadhani naeleweka kila mwanamke anatamani ajulikane nae kwa mama fulani kwa mama fulani kutokana na hali ya maisha inakuwa ngumu mwanaume mwenye sifa zote hizo kupatikana akipatikana namba moja utakuta hana hata mia na mpango wa kuoa hana wala nini.
Akipatikana namba mbili unakuta hapendwi wala sio muoaji ila na mtu kukataa misaada na hali ya uchumi ilivo nayo sio rahisi akipatikana mume nae unakuta majanga hapendwi mtu kaamua kuolewa tu umri unasonga nk, ila hela hana hata ada ya watoto ni kwa msaada wa vicoba kwa jina la mama inabidi tu mama awe na namba mbili,buzi la kumsaidia.Nawashauri wanaume mjipange sana mkiwajibika wanawake wote watatulia hawatakuwa michepuko tena ni aibu sana baba upo ndani na mkeo kumbe ni mchepuko wa mtu!
Wekend njema jamani.Ramadhan kareem!
Unafukua makaburi......hao wa hivyo wako wachache sana halafu na wao wana choices zao, kwahio unaweza kumpata halafu usifikie vigezo vyake ukabaki mpenzi mtazamaji.Enzi hizo unatafuta!!
I hope ulishapata mwenye hii package Miss Natafuta
Tena na dereva toyo au mtu wa bajaji kijinga jinga tuWanawake inaonekana huwajui wewe, unaweza kuwa na package zote hizo na bado ukachapiwa.
Mara zote wanatakaga vitu ambavyo huna. Hata ukiwa tajiri vipi watamtaka masikini.Tena na dereva toyo au mtu wa bajaji kijinga jinga tu
Watu wanawatia vilema, wewe kuambiwa pumbavu unalialia!? Ukiona huwezi kuwa chini ya mamlaka ya mumeo ujue ndoa sio staili yako. Wachomaji wa pembeni ndio mabingwa wa kuwapumbaza wanawake wasioelewa ndoa ni nini kwa zawadi za vichupi, pipi, sidiria, kuitwa baby, halafu mwanamke na akili zake kabisa anaona investment aliyowekeza muda mrefu kwenye familia yake inazidiwa na chupi ta 1,000/- na kuliwa juu. Hii sio spirit ya ukahaba kweli? Baadaye ukiachika hao "mabebi" uchwara watakaa mbali nawe kwa sababu ulikuwa mtamu wakati unaye baba mlishi, ugumu wa maisha utakaoupata ndio sasa unapaswa kulinganisha na ugumu wa kuvumilia hayo maneno hapo juu, na kukosa zawadi za chupi, huku ukipewa kila kitu ukitakacho.Wanaume wanaowatukana wake zao eti MPUMBAVU,unamwambia mkeo mpumbavu,wewe unajiona mjanja sana,amekuzalia,anatunza family alafu unamtuka,mmmmmchi wananikera sana
halafu pembeni mimi nakuita majina mazuri una akili watoto wako wazuri nasema wanawake sdio wapumbavu kabisa ni werevu wanahitaji kupendwa etc. mwisho wa siku utanipa tu tunda hata kama hukutegemea kama ndani utazidi kuitwa mpumbavu...kila binadamu ana kiwango cha uvumilivuWanaume wanaowatukana wake zao eti MPUMBAVU,unamwambia mkeo mpumbavu,wewe unajiona mjanja sana,amekuzalia,anatunza family alafu unamtuka,mmmmmchi wananikera sana
Hakuna jipyaKila mwanamke ili atulie kabisa,anaitaji wanaume wa aina tatu.
1.Anaeujaza moyo wake,yaani hata akinywa maji anamuona mwanaume anaempenda yaani wanaita true love wake
2 .Mwanaume muhongaji wenyewe wanaita buzi yaani buzi linaclear majanga yote incase of emergency miamala inasomeka fastafasta Mpesa ATM etc.
3.Mume wa kumuweka ndani na kulea watoto wa kumpa home nadhani naeleweka kila mwanamke anatamani ajulikane nae kwa mama fulani kwa mama fulani kutokana na hali ya maisha inakuwa ngumu mwanaume mwenye sifa zote hizo kupatikana akipatikana namba moja utakuta hana hata mia na mpango wa kuoa hana wala nini.
Akipatikana namba mbili unakuta hapendwi wala sio muoaji ila na mtu kukataa misaada na hali ya uchumi ilivo nayo sio rahisi akipatikana mume nae unakuta majanga hapendwi mtu kaamua kuolewa tu umri unasonga nk, ila hela hana hata ada ya watoto ni kwa msaada wa vicoba kwa jina la mama inabidi tu mama awe na namba mbili,buzi la kumsaidia.Nawashauri wanaume mjipange sana mkiwajibika wanawake wote watatulia hawatakuwa michepuko tena ni aibu sana baba upo ndani na mkeo kumbe ni mchepuko wa mtu!
Wekend njema jamani.Ramadhan kareem!
Hamriziki nyieKila mwanamke ili atulie kabisa,anaitaji wanaume wa aina tatu.
1.Anaeujaza moyo wake,yaani hata akinywa maji anamuona mwanaume anaempenda yaani wanaita true love wake
2 .Mwanaume muhongaji wenyewe wanaita buzi yaani buzi linaclear majanga yote incase of emergency miamala inasomeka fastafasta Mpesa ATM etc.
3.Mume wa kumuweka ndani na kulea watoto wa kumpa home nadhani naeleweka kila mwanamke anatamani ajulikane nae kwa mama fulani kwa mama fulani kutokana na hali ya maisha inakuwa ngumu mwanaume mwenye sifa zote hizo kupatikana akipatikana namba moja utakuta hana hata mia na mpango wa kuoa hana wala nini.
Akipatikana namba mbili unakuta hapendwi wala sio muoaji ila na mtu kukataa misaada na hali ya uchumi ilivo nayo sio rahisi akipatikana mume nae unakuta majanga hapendwi mtu kaamua kuolewa tu umri unasonga nk, ila hela hana hata ada ya watoto ni kwa msaada wa vicoba kwa jina la mama inabidi tu mama awe na namba mbili,buzi la kumsaidia.Nawashauri wanaume mjipange sana mkiwajibika wanawake wote watatulia hawatakuwa michepuko tena ni aibu sana baba upo ndani na mkeo kumbe ni mchepuko wa mtu!
Wekend njema jamani.Ramadhan kareem!