Mwanaume kamili acha mara moja mambo haya

Kwa humu jf ziwaendee wale wanaume wanaojifanya ujuaji mwingi na dharau zisizo na kichwa wala miguu tena kwa mtu ambaye hata humjui zaidi ya kuona maandishi tu.

Punguzeni kwani huwa tunawatoa kwenye kundi la wanaume kamili.
Aisee wanakusakama
 
Kwa humu jf ziwaendee wale wanaume wanaojifanya ujuaji mwingi na dharau zisizo na kichwa wala miguu tena kwa mtu ambaye hata humjui zaidi ya kuona maandishi tu.

Punguzeni kwani huwa tunawatoa kwenye kundi la wanaume kamili.
πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…