Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Aisee wanakusakamaKwa humu jf ziwaendee wale wanaume wanaojifanya ujuaji mwingi na dharau zisizo na kichwa wala miguu tena kwa mtu ambaye hata humjui zaidi ya kuona maandishi tu.
Punguzeni kwani huwa tunawatoa kwenye kundi la wanaume kamili.
πππOngeza sauti dada waskie
Kina nani Mtani? πAisee wanakusakama
Wana sscKina nani Mtani? Γ Β½ΓΒΈ
Hahahahaaaa. lol.Wana ssc
Poa kabisa.Mamboz!!
Hujambo lakiniHahahahaaaa. lol.
Good.Poa kabisa.
Mie Alhamdulillah Mtani. Nipo naisogeza siku kwa namna hii.Hujambo lakini
Vizuri mtani na vile leo hakuna baya lililowapata ndio ukaonekana time hiiMie Alhamdulillah Mtani. Nipo naisogeza siku kwa namna hii.
Umeona eee Mtani hakuna baya leo , mana huwa nikishaingia ile alfajir basi nikisepa nasepa zangu mazima mpaka siku ingine ipinduke ndo naonekana.Vizuri mtani na vile leo hakuna baya lililowapata ndio ukaonekana time hii
Kuvaa vikaputula
Ila jamaa yenu tumemchapa milion 173 na bonge la nyumba hii habari haijakufikia kwaniUmeona eee Mtani hakuna baya leo , mana huwa nikishaingia ile alfajir basi nikisepa nasepa zangu mazima mpaka siku ingine ipinduke ndo naonekana.
Ukiona unatumiwa meseji za design hiyo tambua mpo kundi moja
πππKwa humu jf ziwaendee wale wanaume wanaojifanya ujuaji mwingi na dharau zisizo na kichwa wala miguu tena kwa mtu ambaye hata humjui zaidi ya kuona maandishi tu.
Punguzeni kwani huwa tunawatoa kwenye kundi la wanaume kamili.