Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyeto unapiga?Duh sipo namba 4 tuu aroooh!... huko kwengine kote sitoboi.
Kuna mwamba ana addiction ya vyote ulivyotaja
Naamini hutataka kufahamu kuhusu mimi loh.Nahisi tunashare namba inayofanana mimi na wewe.
😀
Ikikupendeza hata nikifahamu kuhusu wewe sio mbaya.Naamini hutataka kufahamu kuhusu mimi loh.
Uzi unawazungumzia wanaume
Basi wote tusiseme😅Ikikupendeza hata nikifahamu kuhusu wewe sio mbaya.
😀
Huenda za kwangu hazipo hapo kwenye hiyo list,Basi wote tusiseme😅
Maana umekataa kunidokeza za kwako
Ha haaa kwamba ya kwako hakuna hata moja hapo? Nashindwa kufikiria ni nini zaidi ya hizo...akili imestuck.Huenda za kwangu hazipo hapo kwenye hiyo list,
Halafu hizo addiction ni za Wavulana sio Wanaume.
😎
Anapiga tonye uyoHa haaa kwamba ya kwako hakuna hata moja hapo? Nashindwa kufikiria ni nini zaidi ya hizo...akili imestuck.
Motivational speaker tunasema tuko addicted na kutafuta pesa.
Naona wengi wanakupinga ila kwa jicho la tatu hiyo ndo hali halisi, kila binadamu ana addiction yake hata kama sio negative addiction japo hizi zote ulizotaja ni zimeegemea kwenye negative lakini kwenye duani ya leo ndo zimetawalaAddiction Ni kitu ambacho kamwe hakiwezi epukika katika Karne hii ya 21.In one way or the lazima kila mwanadamu especially wanaume atakuwa addicted na mojawapo ya vitu vifuatavyo;
1.Betting & gambling
2.Keyboard warrior( internet)
3.Masterbation( punyeto & kujichua)
4.Sigara/ bangi/shisha
5.Pombe
6.Ngono
Binafsi nipo addicted Sana na kubet mikeka,Yaani kwa wiki ninaweza bet Mara 5,sema kushinda hela yenywewe ndio kazi😂
Afu pia nipo addicted na internet,Yaani Mimi ni keyboard warrior hatari Sana.Ni Bora nikose mengine yote Ila nisikose hela ya kuunga bundle kwenye simu ili nibrowse.
Kwa Kama wewe Ni njemba kamili afu haupo addicted na mojawapo ya vitu nilivyovitaja hapo juu Basi jiongeze haraka usikae kizembe bana.Tafuta kitu Cha kuwa addicted nacho bana😂
Kwa ambayo tayari mko addicted chama lako no gani hapo juu?