Mwanaume, kitu gani kinakugharimu katika muda, pesa, changamoto zaidi ya 'K"?

Mwanaume, kitu gani kinakugharimu katika muda, pesa, changamoto zaidi ya 'K"?

Morning_star

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2018
Posts
6,042
Reaction score
17,320
Hii kitu 'K' haijarishi wewe ni mzungu? "Kwasababu nimeshiriki project nyingi za wazungu wakija huku wanakuwa marimbukeni mbele ya "k". Hii 'K' kama wewe ni kijana unajitafuta kuwa makini nayo. Mbele ya hii kitu hakuna ulokole! Mimi ni mlokole tangu kitambo lakini niliwahi kupitia changamoto ya hii kitu namshukuru Mungu nilioa Piss kali mpaka sasa sijutii!.

Chakufanya tumia rasilimali zako zoooote kama ni akili, pesa, muda, n.k., tafuta "K" itakayokonga moyo wako! Ukishaipata iingize ndani na baada ya hapo 'IFUNGE KWA NGUVU ZAKO ZOOTE KAMA NI ZA MIZIMU, IBADA, MASHETANI, nk, ili uendelee kuimudu! Vinginevyo shetani atakunyang'anya! kwasababu katika dunia hii, hakuna kitu kitaendelea kukusumbua mpaka unarudi 'udongoni' zaidi ya 'K'. Shetani hapo ndipo alipoweka kiti chake cha enzi! Dhambi iliingia duniani kupitia mwanamke! Uwe na uhakiki kila penye 'K' shetani yupo! UMENISIKIA??? Okay!!!! Ukihishiwa mafuta, tukutane "shell"
 
"..all my bitches love me, and i love all my bitches, but it's like as soon as i cum, i come back to my senses.." lil wayne
 
Nyie ndo mnaofanya hawa viumbe wajione keki, mtu akiringia K yake si unaenda Kwa mwingine shida iko wapi. Kwani ni yeye pekeyake ndo mwenye K hapa duniani?
Shida ni kwamba "pamoja na kwamba 'k' zote utazichukulia sawa, lakini mpaka uipate itakugharimu muda na hela! Ndo maana nawahasa vijana wawe watulivu na watumie akili na muda na mali kuchagua 'k' ambayo 'is worthy of all cost" na angalau irudishe gharama zake" na 'aoe" aichukue mazima kwasababu maisha yake yote ataangaikia hiyo 'k' asipokuwa makini.
 
Fact.
Mtu anae ruka ruka ana asilimia 2 - 5% za kuchomoa maisha (kupindua meza)

Kijana tafuta mwanamke mmoja tulia nae wakizidi Sana 2 . Spend hela zako kismart & hussle like never before meza lazima ipinduliwe.

Madhara ya K nyingi kwa wakati mmoja
- unapoteza mda, ela, focus, discipline, consistently kwenye mambo ya maana .

Way back kuna mwamba alikua anambia Bora nyeto kuliko kubadilisha K errday .
 
K Matata.... 🥰

K Mahaba...🥰

K kama K....😋

K mbinjuko.... and the list is endless 😉.
 
Back
Top Bottom