Kuna mambo mengine tuna ya puuzia ila la kuzaa watoto wako wote kwa mke moja ni hatari kuliko hatari zingine za kifamilia tukistaafu.
Kwa 70% watoto tunao zaa kuchukua gins nyingi upande wa mama zao, zikiwemo na tabia mbaya, kuna mstaafu moja hapa mtaani ana watoto 6, kwa mama moja ila watoto wote nikama vichaa na hiki kinasaba kimejichomoza kwa upende wa mke wake, kwa ufupi yule nikama hana mtoto, nyumba yake angefungua tu hospitali ya vichaa mental kiliniki.
Olewako we kijana uzae kwa mke moja utaisoma number kuna umri wa kuzaa na umri wa kulea tumia umri wako sasa hivi vizuri, sio kila mwanamke ni kutumia kinga.
Kwa 70% watoto tunao zaa kuchukua gins nyingi upande wa mama zao, zikiwemo na tabia mbaya, kuna mstaafu moja hapa mtaani ana watoto 6, kwa mama moja ila watoto wote nikama vichaa na hiki kinasaba kimejichomoza kwa upende wa mke wake, kwa ufupi yule nikama hana mtoto, nyumba yake angefungua tu hospitali ya vichaa mental kiliniki.
Olewako we kijana uzae kwa mke moja utaisoma number kuna umri wa kuzaa na umri wa kulea tumia umri wako sasa hivi vizuri, sio kila mwanamke ni kutumia kinga.