Mwanaume kosea yote, ila usikosee kuzaa watoto wote kwa mwanamke moja

Mwanaume kosea yote, ila usikosee kuzaa watoto wote kwa mwanamke moja

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Kuna mambo mengine tuna ya puuzia ila la kuzaa watoto wako wote kwa mke moja ni hatari kuliko hatari zingine za kifamilia tukistaafu.

Kwa 70% watoto tunao zaa kuchukua gins nyingi upande wa mama zao, zikiwemo na tabia mbaya, kuna mstaafu moja hapa mtaani ana watoto 6, kwa mama moja ila watoto wote nikama vichaa na hiki kinasaba kimejichomoza kwa upende wa mke wake, kwa ufupi yule nikama hana mtoto, nyumba yake angefungua tu hospitali ya vichaa mental kiliniki.

Olewako we kijana uzae kwa mke moja utaisoma number kuna umri wa kuzaa na umri wa kulea tumia umri wako sasa hivi vizuri, sio kila mwanamke ni kutumia kinga.
 
Kuna mambo mengine tuna ya puuzia ila la kuzaa watoto wako wote kwa mke moja ni hatari kuliko hatari zingine za kifamilia tukistaafu.

Kwa 70% watoto tunao zaa kuchukua gins nyingi upande wa mama zao, zikiwemo na tabia mbaya, kuna mstaafu moja hapa mtaani ana watoto 6, kwa mama moja ila watoto wote nikama vichaa na hiki kinasaba kimejichomoza kwa upende wa mke wake, kwa ufupi yule nikama hana mtoto, nyumba yake angefungua tu hospitali ya vichaa mental kiliniki.
Olewako we kijana uzae kwa mke moja utaisoma number kuna umri wa kuzaa na umri wa kulea tumia umri wako sasa hivi vizuri, sio kila mwanamke ni kutumia kinga.
Wewe mama yako alikuzaa na wanaume wangapi
 
Kuna mambo mengine tuna ya puuzia ila la kuzaa watoto wako wote kwa mke moja ni hatari kuliko hatari zingine za kifamilia tukistaafu.

Kwa 70% watoto tunao zaa kuchukua gins nyingi upande wa mama zao, zikiwemo na tabia mbaya, kuna mstaafu moja hapa mtaani ana watoto 6, kwa mama moja ila watoto wote nikama vichaa na hiki kinasaba kimejichomoza kwa upende wa mke wake, kwa ufupi yule nikama hana mtoto, nyumba yake angefungua tu hospitali ya vichaa mental kiliniki.
Olewako we kijana uzae kwa mke moja utaisoma number kuna umri wa kuzaa na umri wa kulea tumia umri wako sasa hivi vizuri, sio kila mwanamke ni kutumia kinga.
we jamaa baada ya kumzalisha mama wa wawaatu mbagara umekuja kulasmisha huku binafsi mimi Niko tofati na ww mimi naona kabla ya kuoa angalia back ground ya familia Yao huyo mke unaemuoa maana unaweza Kuta familia nzima aliye wahi kufika form 4 ni mmoja tu nae alipata zero sasa familia/uko huo unategemea kupata hybrid nzuri we Tafta mwanamke anaejielewa uone kama utatoa toto jinga unaenda kutoa posa Kwa gigy money au amba ruty unategemea Nini?
 
we jamaa baada ya kumzalisha mama wa wawaatu mbagara umekuja kulasmisha huku binafsi mimi Niko tofati na ww mimi naona kabla ya kuoa angalia back ground ya familia Yao huyo mke unaemuoa maana unaweza Kuta familia nzima aliye wahi kufika form 4 ni mmoja tu nae alipata zero sasa familia/uko huo unategemea kupata hybrid nzuri we Tafta mwanamke anaejielewa uone kama utatoa toto jinga unaenda kutoa posa Kwa gigy money au amba ruty unategemea Nini?
Mkuu hicho kigezo cha kufika form four sio sahihi kupata mke sahihi kuna familia mpaka vyuo vikuu Wamefika ila akili ni zero.....na kuna familiar hata hamna wa darasa la saba ila akili zimo tofautisha uwezo wa kifedha na akili za mtu
 
Kuna mambo mengine tuna ya puuzia ila la kuzaa watoto wako wote kwa mke moja ni hatari kuliko hatari zingine za kifamilia tukistaafu.

Kwa 70% watoto tunao zaa kuchukua gins nyingi upande wa mama zao, zikiwemo na tabia mbaya, kuna mstaafu moja hapa mtaani ana watoto 6, kwa mama moja ila watoto wote nikama vichaa na hiki kinasaba kimejichomoza kwa upende wa mke wake, kwa ufupi yule nikama hana mtoto, nyumba yake angefungua tu hospitali ya vichaa mental kiliniki.
Olewako we kijana uzae kwa mke moja utaisoma number kuna umri wa kuzaa na umri wa kulea tumia umri wako sasa hivi vizuri, sio kila mwanamke ni kutumia kinga.
Kwahiyo sample size yako ni 1 ?
 
Kobazi unazingua na huu Ni upotoshaji wa Hali ya juu.

Hi ilishaleta Vita kwa waajiriwa wengi Mana sehemu walizokuwa wakitumikia alitambulika mke mmoja.
Vurumai anapotoweka Mhusika uone watu ( Mama na watoto ) wanagawana uhai na sio Mali.
 
Mkuu hicho kigezo cha kufika form four sio sahihi kupata mke sahihi kuna familia mpaka vyuo vikuu Wamefika ila akili ni zero.....na kuna familiar hata hamna wa darasa la saba ila akili zimo tofautisha uwezo wa kifedha na akili za mtu
mimi kigezo sio elimu nilitoa tu mfano lkn hata hivyo ww unataka wanao wasome unaenda kuchukua mdada mvuta shisha kitambaa cheupe unategemea Nini??
 
Kobazi unazingua na huu Ni upotoshaji wa Hali ya juu.

Hi ilishaleta Vita kwa waajiriwa wengi Mana sehemu walizokuwa wakitumikia alitambulika mke mmoja.
Vurumai anapotoweka Mhusika uone watu ( Mama na watoto ) wanagawana uhai na sio Mali.
Asante sana kwa kunisaidia. Nimeyaona hayo kwa macho yangu. Jamaa anapotosha WALIOPOTOKA.
 
Back
Top Bottom