- Thread starter
- #41
Hiyo sio hoja mkuu unaniagusha challenge the content not the personaltyWewe na wadogo zako mna baba wangapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo sio hoja mkuu unaniagusha challenge the content not the personaltyWewe na wadogo zako mna baba wangapi?
Hoja yako.haina mashiko. Utakuja kugombanisha ukoo na kutesa watoto.wa watu.huku wewe.umeshalala kaburiniHiyo sio hoja mkuu unaniagusha challenge the content not the personalty
Kugombana kuko pale pale hata wa mama moja baba moja hugombana mpska kuuana, tamaa ya mali ni hulka ya mtu sio mzazi.Hoja yako.haina mashiko. Utakuja kugombanisha ukoo na kutesa watoto.wa watu.huku wewe.umeshalala kaburini
SawaKugombana kuko pale pale hata wa mama moja baba moja hugombana mpska kuuana, tamaa ya mali ni hulka ya mtu sio mzazi.
Mwandiko wako unasupport hoja yako. It all makes sense.Mwaanaume mwenye akili timam hazai watoto wote kwa amama mmoja
Nakuangalia tu, jichanganye sasa uone😏😏😏
Bshati mbaya nimezeeka sasa!!Nakuangalia tu, jichanganye sasa uone😏😏😏
We jisahau tu!Bshati mbaya nimezeeka sasa!!
Ushajikubalia kuwa kuzaa lazima, kwa nini?Kuna mambo mengine tuna ya puuzia ila la kuzaa watoto wako wote kwa mke moja ni hatari kuliko hatari zingine za kifamilia tukistaafu.
Kwa 70% watoto tunao zaa kuchukua gins nyingi upande wa mama zao, zikiwemo na tabia mbaya, kuna mstaafu moja hapa mtaani ana watoto 6, kwa mama moja ila watoto wote nikama vichaa na hiki kinasaba kimejichomoza kwa upende wa mke wake, kwa ufupi yule nikama hana mtoto, nyumba yake angefungua tu hospitali ya vichaa mental kiliniki.
Olewako we kijana uzae kwa mke moja utaisoma number kuna umri wa kuzaa na umri wa kulea tumia umri wako sasa hivi vizuri, sio kila mwanamke ni kutumia kinga.
Wewe huna akili timamu. Gins ndo nini kwanza?.. Wewe usihalalishe UasheratiKuna mambo mengine tuna ya puuzia ila la kuzaa watoto wako wote kwa mke moja ni hatari kuliko hatari zingine za kifamilia tukistaafu.
Kwa 70% watoto tunao zaa kuchukua gins nyingi upande wa mama zao, zikiwemo na tabia mbaya, kuna mstaafu moja hapa mtaani ana watoto 6, kwa mama moja ila watoto wote nikama vichaa na hiki kinasaba kimejichomoza kwa upende wa mke wake, kwa ufupi yule nikama hana mtoto, nyumba yake angefungua tu hospitali ya vichaa mental kiliniki.
Olewako we kijana uzae kwa mke moja utaisoma number kuna umri wa kuzaa na umri wa kulea tumia umri wako sasa hivi vizuri, sio kila mwanamke ni kutumia kinga.
Nani kaelewa hii?😀😀😀😀Kuna mambo mengine tuna ya puuzia ila la kuzaa watoto wako wote kwa mke moja ni hatari kuliko hatari zingine za kifamilia tukistaafu.
Kwa 70% watoto tunao zaa kuchukua gins nyingi upande wa mama zao, zikiwemo na tabia mbaya, kuna mstaafu moja hapa mtaani ana watoto 6, kwa mama moja ila watoto wote nikama vichaa na hiki kinasaba kimejichomoza kwa upende wa mke wake, kwa ufupi yule nikama hana mtoto, nyumba yake angefungua tu hospitali ya vichaa mental kiliniki.
Olewako we kijana uzae kwa mke moja utaisoma number kuna umri wa kuzaa na umri wa kulea tumia umri wako sasa hivi vizuri, sio kila mwanamke ni kutumia kinga.
Bro unasoma vzr ujumbe? Ama na ww ni product ya single mother? Huu ujumbe ni kwa mwanaumeWewe mama yako alikuzaa na wanaume wangapi
We wataka uzi uujazwe mifuano tu ya matukio kama haya wengi wamelia kwa kuzaa kwa mke moja .Ni kama vichaa kivipi? Hivi nyie watu huwa mnatumiaga nini kuandika upupu kama huu? Inakuaje scenario moja iwe sababu ya kuzaa hovyo kama mpumbavu?
Upuuzi kabisa.