Chief ni kosa kutumia monotype judgement kwa kutumia mhusika mmoja..sikatai kuna wakati tunajikuta tumepata wenza pasua kichwa ila hili lisitufanye tutoke kwenye misingi yetu...nimeshuhudia migogoro mingi sana kwenye ugawanaji wa mirathi pale mwanaume anapozaa na eanawake tofauti tofauti.Suali lako ni irrelevant mkuu
Huyo mstaafu wako sijui mzee wako ndiyo sample yako kwa aina ya watoto ambao amewapateni?Kuna mambo mengine tuna ya puuzia ila la kuzaa watoto wako wote kwa mke moja ni hatari kuliko hatari zingine za kifamilia tukistaafu.
Kwa 70% watoto tunao zaa kuchukua gins nyingi upande wa mama zao, zikiwemo na tabia mbaya, kuna mstaafu moja hapa mtaani ana watoto 6, kwa mama moja ila watoto wote nikama vichaa na hiki kinasaba kimejichomoza kwa upende wa mke wake, kwa ufupi yule nikama hana mtoto, nyumba yake angefungua tu hospitali ya vichaa mental kiliniki.
Olewako we kijana uzae kwa mke moja utaisoma number kuna umri wa kuzaa na umri wa kulea tumia umri wako sasa hivi vizuri, sio kila mwanamke ni kutumia kinga.
Wewe kichwani hakika hakuna kituWewe mama yako alikuzaa na wanaume wangapi
Mkuu katika kugawana mali ata wote wangetoka kwa mama moja kugombana kuko pale pale, hapo nimetoa mfano moja ila kuna mifuano lukuki ya aina hiyo......Chief ni kosa kutumia monotype judgement kwa kutumia mhusika mmoja..sikatai kuna wakati tunajikuta tumepata wenza pasua kichwa ila hili lisitufanye tutoke kwenye misingi yetu...nimeshuhudia migogoro mingi sana kwenye ugawanaji wa mirathi pale mwanaume anapozaa na eanawake tofauti tofauti.
Mkuu watoto wagawanye wasiwe na mshikamano kwa upande wa mama moja tu utaumia badaye
Watoto ni sehemu ya furaha na kula maisha ukikosa watoto furaha yako ni nusu, mpaka watu wanalipa millions ili wapate furaha ya kua na watotoKanza watoto wanini mkuu, wekula maisha bana
Watoto ni kero na usumbufu tu mkuu na wanakula kama mchwa, fuata ushauri wangu utakuja kunishukuru..😂Watoto ni sehemu ya furaha na kula maisha ukikosa watoto furaha yako ni nusu, mpaka watu wanalipa millions ili wapate furaha ya kua na watoto
Wape elimu watoto, mali andikia watoto yatima.Mkuu katika kugawana mali ata wote wangetoka kwa mama moja kugombana kuko pale pale, hapo nimetoa mfano moja ila kuna mifuano lukuki ya aina hiyo......
Kama Husein Obama alivyowapa wamarekani zawadi ya Rais.Hata wanawake wana mentality ya kupata watoto tofauti kwa baba hata kwa siri hufanya hivyo ili kupata mtoto mwenye akili tofauti na baba mwenye mke. Hutesti mitambo yao nje ya ndoa ili kuingiza ingizo jipya na hasa kama baba mwenye mke ni dunya huletewa uzao mwingine bomani mwake wenye akili na maarifa mengi
Siyo kweli. Diamond Platnums huyo hapo mamake hana mbele wala nyuma, lkn yeye katusua.Oa mke wapili uzae nae kwa usalama wako, usizae na bar maid au mama tilie watoto kufuata nyao za mama zao.
Wewe ni.mjinga kabisakabisaKuna mambo mengine tuna ya puuzia ila la kuzaa watoto wako wote kwa mke moja ni hatari kuliko hatari zingine za kifamilia tukistaafu.
Kwa 70% watoto tunao zaa kuchukua gins nyingi upande wa mama zao, zikiwemo na tabia mbaya, kuna mstaafu moja hapa mtaani ana watoto 6, kwa mama moja ila watoto wote nikama vichaa na hiki kinasaba kimejichomoza kwa upende wa mke wake, kwa ufupi yule nikama hana mtoto, nyumba yake angefungua tu hospitali ya vichaa mental kiliniki.
Olewako we kijana uzae kwa mke moja utaisoma number kuna umri wa kuzaa na umri wa kulea tumia umri wako sasa hivi vizuri, sio kila mwanamke ni kutumia kinga.
Mkuu fafanua kwa kuleta hoja zako kinzani demu ndo wanakua furious bila sababu we sio demu buana Acha makasiliko.Wewe ni.mjinga kabisakabisa
Unachanganya elimu na akiliwe jamaa baada ya kumzalisha mama wa wawaatu mbagara umekuja kulasmisha huku binafsi mimi Niko tofati na ww mimi naona kabla ya kuoa angalia back ground ya familia Yao huyo mke unaemuoa maana unaweza Kuta familia nzima aliye wahi kufika form 4 ni mmoja tu nae alipata zero sasa familia/uko huo unategemea kupata hybrid nzuri we Tafta mwanamke anaejielewa uone kama utatoa toto jinga unaenda kutoa posa Kwa gigy money au amba ruty unategemea Nini?
Mwanamke hakatai mimba,Wewe mama yako alikuzaa na wanaume wangapi
Ni kweli do not put all eggs in one busketKuna mambo mengine tuna ya puuzia ila la kuzaa watoto wako wote kwa mke moja ni hatari kuliko hatari zingine za kifamilia tukistaafu.
Kwa 70% watoto tunao zaa kuchukua gins nyingi upande wa mama zao, zikiwemo na tabia mbaya, kuna mstaafu moja hapa mtaani ana watoto 6, kwa mama moja ila watoto wote nikama vichaa na hiki kinasaba kimejichomoza kwa upende wa mke wake, kwa ufupi yule nikama hana mtoto, nyumba yake angefungua tu hospitali ya vichaa mental kiliniki.
Olewako we kijana uzae kwa mke moja utaisoma number kuna umri wa kuzaa na umri wa kulea tumia umri wako sasa hivi vizuri, sio kila mwanamke ni kutumia kinga.
Wewe na wadogo zako mna baba wangapi?Mkuu fafanua kwa kuleta hoja zako kinzani demu ndo wanakua furious bila sababu we sio demu buana Acha makasiliko.