Utakuwa unakosea. Imeandikwa: mwanaume atakula kwa jasho lake, na si kusubiri kuletewamimi nna miaka 34 elimu sina kazi ngumu nafanya lakini kipato hakinisogezi popote zaidi ya kula na kuishi nakaa site ya mtu na sina mtoto mke wala mtu wakunisaidia
ivi wadau nikipata msichana anauwezo tukasaidiana maisha ntakua na kosea
Sasa ukipigana hadi ukatoka jasho ukitafuta kadada katajiri ka kukulea haujavuja jasho mzee mama?Utakuwa unakosea. Imeandikwa: mwanaume atakula kwa jasho lake, na si kusubiri kuletewa
Oouh....hapo nimewaelewa sasa.Kama upo dar hamna shida yoyote.
Unaishi wapi mkuu?mimi nna miaka 34 elimu sina kazi ngumu nafanya lakini kipato hakinisogezi popote zaidi ya kula na kuishi nakaa site ya mtu na sina mtoto mke wala mtu wakunisaidia
ivi wadau nikipata msichana anauwezo tukasaidiana maisha ntakua na kosea
Hakuna nguvu ya mwili itumikayo katika kumtafuta kadada.Sasa ukipigana hadi ukatoka jasho ukitafuta kadada katajiri ka kukulea haujavusha jasho mzee mama?
Kumbe nilikuwa nakosea kukutafuta kutumia nguvu eeh? ndiyo maana toka mwaka jana unanizungushaHakuna nguvu ya mwili itumikayo katika kumtafuta kadada.
Duuh kweli umenikazia uso hadi umeamua kuja kunijibia huku chini.Tumia ushawishi. Halafu, matokeo ya jasho lako mi ndo liniweke mjini.
HahahhhaKama upo dar hamna shida yoyote.
Wanawake wengine wabahili kama wewe hata hamdangiki....Kudanga baadhi ya wanaume si ndio style yenu mpyaa mana mmewapita mpaka wanawake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawake wengine wabahili kama wewe hata hamdangiki....
Hakuna mwanamke atakupa pesa yake kama tunavyowapa dunia nzima labda awe anakuhitaji zaidi ya unavyomhitaji.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukinipatia unaweza nidanga