Mwanaume kudanga ni sawa?

Mwanaume kudanga ni sawa?

Mpaka umri huo bado unaomba msaada wa maoni juu ya hilo? Wanaume tunazidi kubaki wachache
 
aah kumbe kuomba msaada ni uanamke so kila unachofanya unafanya peke ako
 
aaaah unatafuta msichana wa kukulea? kuwa makini tu usije ukapata mwanaume tu ....

ushauri tu mkuu
 
mimi nna miaka 34 elimu sina kazi ngumu nafanya lakini kipato hakinisogezi popote zaidi ya kula na kuishi nakaa site ya mtu na sina mtoto mke wala mtu wakunisaidia
ivi wadau nikipata msichana anauwezo tukasaidiana maisha ntakua na kosea
Achana na mambo yote hayo unayoyawaza? , sote binadamu hakuna aliye kamilika...rudi nyumban kwanza kawaone wazeee au watu muhimu kwenye maisha yako, ,, maana maisha bila furahaa au baraka ya wazazi au walezi ni ngumu, ,, utaangaika sana nakujiuliza kwanini sifanikiwi kaka,, , kingine muombe mwenyezi mungu kwa kila hatua unayo piga., afya njema na azidi kukufanyia wepesi .,,
 
unavo niona ndivo niilivo sina wazazi sina nyumbani mtaani ndio nilipo kulia
 
una mjua ophan? no parents pia sina home its just me against the world
 
Utakuwa unakosea. Imeandikwa: mwanaume atakula kwa jasho lake, na si kusubiri kuletewa
Asa kiongozi kwenye kudanga si kuna kwichikwichi nahua inatumika nguvu pale
 
Back
Top Bottom