Mwanaume Kufanya Mapenzi mbele ya Mwanaume Mwenzako ni Kudhalilishana

Status
Not open for further replies.
Mimi ni mtu ambaye nina bahati ya kuishi na wazinzi sana, wanawake ni wagawaji sana, yaani hawawezi kutulia kabisa, nimekaa na wazinzi na huenda wangeniambukiza uzinzi, lakini nashukuru Mungu ananiepusha kwakweli,

Wazee madem sio waaminifu kabisa, mimi najionea, imagine dem wa rafiki yangu tumempata hata week haijaisha, nipo kumchukulia mke mwenzie viepe af namkuta nae anafungiwa viepe akiwa na jitu lina kitambi, so sad
 
😁😁😁 mkuu kwani umri wako ni mdogo kiasi hicho mpka ushangae?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mkuu wewe sio kwamba huappreciate madem ila UNAWAOGOPA sasa unatetemeka nn labda demu kajileta kukaa na wewe alafu huyo demu wa huyo muhuni anakutishiaje eti "ole wako uende"
 
Katikati ya maandishi yako kuna vitu nimevihisi.....nimejiuliza na viswali.

1: wewe na huyo bro unaemfata mmetofautiana sana umri ulikua la pili ye la saba, maana yake sio age mate wako, sasa huo urafiki wenu unaunganishwa na nini???? Mbona hata story zenu ni za watu wawili tofauti???

2: we ni mtoto wa kiume, ila mbona una pigo za kike....unaogopa sana wanawake, na haupendi kabisa madem.

3: sorry kwa kukuwazia hivi yani una kau-innocence flani ambako huwa wanako mashoga. Gays wengi huwa wanasound hivyo

4: hapo geto ulikua unaenda kufanya nini??

5: kutokana na hiyo namba tatu hapo juu, possible jamaa kaamua atmbe mbele yako kukuonesha kuwa mwanaume unatakiwa kula na sio kuliwa, na kama we kweli mwanaume rijali jamaa kula mzigo mbele yako ingekustimulate tu.

Mwisho nasisitiza namba 3 na kama nimekuwazia tofauti, basi nsamehe bure

Gazeti kwa gazeti, ubaya ubwela.....
 
Huko lazima ni Usukumani au tabora kwa wanyamwezi.

Hawa jamaa kwenye ngono wanakuwaga kama Nyani.

Samahani lakini watani zangu.
 
Kwa huu uandishi tu ndio wale wale akina Mauzinde.

Kwanza Mwanaume ambaye sio Shoga Mb** haiwezi kusimama mbele ya mwanaume mwenzie.
 
Hili ni nyambu ,lingeweka na namba zake tulitambue lifanyiwe kazi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…