Quavohucho
JF-Expert Member
- Aug 30, 2020
- 798
- 2,028
Acha ushoga dogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No, na nikisema sipendi madem sio kwamba sipendi, ila napenda kiasi, yaani siko addicted. Maana watu tunatofautiana mwingine anapenda pombe sana wanawake kiasi, mwingine vyote, mwingine hapendi pombe anapenda madem, kwahiyo mimi nimebalance vyoteKwahiyo mkuu wewe una appriciate wanaume wenzio??
Si umeandika haupendi madem....mbona ghafla sasa 😹Aiseeeee watu mmeniandama, iko hivi,
Mimi sio shoga, Dem nnae 💉
Yaani watu wamekariri kila mtu ambae hapendi wanawake ni shoga, mimi sipendi kukaa na pipo, muda mwingi nakuwa peke yangu nafanya vitu vya muhimu, najua kama nikiishi kama wengine kwa kufuata mkumbo kuna vitu siwezi kukamilisha, kila mtu ana namna yake ya kuishi na labda ni kulingana na malezi na makuziHamna, kuna majamaa wanaogopa wanawake tu, tena unakuta wanaogopa watu wote, hadi vijana, wazee, watoto...
Ni social anxiety
Kuna mashoga wengi tu nimewaona wapo kawaida sana huwezi kuwashtukia
Kawaida sana hiyo nashangaa huyu jamaa analia LiaTabia za watu kula mademu zao mbele ya washikaji zimefanyika sana Hosteli Vyuoni.
Sema kwa uandishi wako na story ni "Bottom" mwenye Aibu saana!
Kumbe?Kwani Huwa anaeleweka....?
daaah we jamaa muda si mrefu unavunja code 😆😆😆😆mimi hadi kutaka kwenda kumtembelea nilikuwa na umri wa miaka zaidi ya 18(wanasema adult),
Kijijini kwetu hakuna wasichana,
Mimi sio bikra,
Nilishawahi kufanya mapenzi na sio mara 1 nikiwa secondary,
Mimi hapa naona mtu mwenye social anxiety, ambaye hata kuandika vizuri hawezi.Tabia za watu kula mademu zao mbele ya washikaji zimefanyika sana Hosteli Vyuoni.
Sema kwa uandishi wako na story ni "Bottom" mwenye Aibu saana!