Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Naona umemtinga sana dogo anyway ni hivi mpe yako uone kama huwa hapendi 😂😂Wanawake hauwapendi na kum* nayo hauipendi???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umemtinga sana dogo anyway ni hivi mpe yako uone kama huwa hapendi 😂😂Wanawake hauwapendi na kum* nayo hauipendi???
Vijana sisi tukikutana tunapiga sana story za ovyo, sio mimi tu linanitokea, yaani masela wanakula madem tukiwemo wote room hata 3 yeye anakula dem, hapa unaona how women ni wapumbavu sana, hawajui watu wanamizuka mwishowe wakabakwa bure
Taja umri sasa unaogopaje wanawakeMimi ni kijana mkubwa, nimevuka 18+ kitambo kidogo
Babake mtu huyu,daah
Sasa Kasema anaogopa wanawake yaani demu kuja kukaa nae tu jasho hadi miguuni, atatongozaje sasa. MkuuKuna mawili, labda jamaa ameona huna viashiria vya kiume (labda huwa hutongozi) ndio alikuwa anakuletea mademu ili na wewe uweze kupiga; pili labda alikuwa anatafuta njia ya kukufukuza.
Ndio maana na mimi niliona bora nimwache huru, kuliko kukaa pale, afu yule jamaa alikuwa mkubwa kunizid na nizisingeweza kuleta vurugu ningeambulia makofi tu, yaani alifanya vile makusudi, mtu kafata dem nje anataka uone anavomla kisa dem wake kanishobokeaKupishana ipo.. sio ya hiv sasa mpigane miti mm nipo? Kumamae walahi labda kama umeleta dem wako tumtoe mande
Inawezekana huyo ndugu yake alikuwa anamletea totoz angalau azipige; tofauti na hapo dogo anaelekea kuwa shoga.Sasa Kasema anaogopa wanawake yaani demu kuja kukaa nae tu jasho hadi miguuni, atatongozaje sasa. Mkuu
Baba namwita baba, mama namwita mama, brother namwita jina lake, nafanya kazi za misimu, kiangazi na masika, biashara niliwahi kufanya ila sasa nimeacha, nipo nextUnafanya kaz gan kwanza? Au nyinyi ndo kipind mnakuwa mnamwitaga dingi DADI?
Naam, kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kubaki, kilichonibana ni ugeni, yule dem wa kwanza nilishindwa nifanye nini, istoshe jamaa alifunga mlango, Dem wa pili nikaona mazoeaHata mm sikubali aisee,ntaondoka tu
FreshWe ni kama yule Cocacola acha kuleta stori mob
Sisimamishi kivipi, wewe unaona jamaa ni mkubwa ananizidi miaka 6, alikuwa anafanya vile ili nijichanganye anizabue makofiUlipaswa kuomba mzigo Kama maafande waliorekodiwa alisikika mlevi mmoja.
Ungepaswa kutoka nje, unaangaliaje watu wanasex na hausimamishi??
Dogo yuko wapiii......Naona umemtinga sana dogo anyway ni hivi mpe yako uone kama huwa hapendi 😂😂
Sipendelei wanawake, nawapenda sana hasa weupe, ila siwezi kutongoza ovyo ovyo, nalinda brand wanaume tumebaki wachache, ukila sana wanawake unatoka kwenye kundi la wanaume, mwanaume sio malaya wala mzinzi, mwanaume anajiheshimu, mwanaume sio bishoo wa kujiringishia kuwa na madem wengi, mwanaume ni yule nafanya kazi na kupata pesa ambayo mimi napanga naifanyia nini, mwanaume natakiwa nikipita madem waambizane "Ushawahi kula za yule" na majibu yao yawe hapana, mwanaume hatakiwi kuwa na mazoea ya ovyoovyo, haiwezekani nyuchi zote za madem uzijue kama mwanaume, mwanaume hutakiwi kujulikana ovyoovyo, mwanaume hafagilii upumbavu kama ule, ngono kwa mwanaume inaweza isiwepo hata kwenye top 3 ya vitu ambavyo anawaza kwa siku atimize siku moja.Wanawake hauwapendi na kum* nayo hauipendi???
Uko wapi.....nimekupendaSipendelei wanawake, nawapenda sana hasa weupe, ila siwezi kutongoza ovyo ovyo, nalinda brand wanaume tumebaki wachache, ukila sana wanawake unatoka kwenye kundi la wanaume, mwanaume sio malaya wala mzinzi, mwanaume anajiheshimu, mwanaume sio bishoo wa kujiringishia kuwa na madem wengi, mwanaume ni yule nafanya kazi na kupata pesa ambayo mimi napanga naifanyia nini, mwanaume natakiwa nikipita madem waambizane "Ushawahi kula za yule" na majibu yao yawe hapana, mwanaume hatakiwi kuwa na mazoea ya ovyoovyo, haiwezekani nyuchi zote za madem uzijue kama mwanaume, mwanaume hutakiwi kujulikana ovyoovyo, mwanaume hafagilii upumbavu kama ule, ngono kwa mwanaume inaweza isiwepo hata kwenye top 3 ya vitu ambavyo anawaza kwa siku atimize siku moja.
Naweza kuwaza ngono au kumtamani mtu lakini najikaza kiume, najua nikifanya mara moja itanichukua muda kupumzika maana inavutia. So tunajitahidi tu kujizuia ili kuokoa uanaume