Mwanaume Kufanya Mapenzi mbele ya Mwanaume Mwenzako ni Kudhalilishana

Mwanaume Kufanya Mapenzi mbele ya Mwanaume Mwenzako ni Kudhalilishana

Status
Not open for further replies.
Kupishana ipo.. sio ya hiv sasa mpigane miti mm nipo? Kumamae walahi labda kama umeleta dem wako tumtoe mande
Ndio maana na mimi niliona bora nimwache huru, kuliko kukaa pale, afu yule jamaa alikuwa mkubwa kunizid na nizisingeweza kuleta vurugu ningeambulia makofi tu, yaani alifanya vile makusudi, mtu kafata dem nje anataka uone anavomla kisa dem wake kanishobokea
 
Ulipaswa kuomba mzigo Kama maafande waliorekodiwa alisikika mlevi mmoja.

Ungepaswa kutoka nje, unaangaliaje watu wanasex na hausimamishi??
Sisimamishi kivipi, wewe unaona jamaa ni mkubwa ananizidi miaka 6, alikuwa anafanya vile ili nijichanganye anizabue makofi
 
Wanawake hauwapendi na kum* nayo hauipendi???
Sipendelei wanawake, nawapenda sana hasa weupe, ila siwezi kutongoza ovyo ovyo, nalinda brand wanaume tumebaki wachache, ukila sana wanawake unatoka kwenye kundi la wanaume, mwanaume sio malaya wala mzinzi, mwanaume anajiheshimu, mwanaume sio bishoo wa kujiringishia kuwa na madem wengi, mwanaume ni yule nafanya kazi na kupata pesa ambayo mimi napanga naifanyia nini, mwanaume natakiwa nikipita madem waambizane "Ushawahi kula za yule" na majibu yao yawe hapana, mwanaume hatakiwi kuwa na mazoea ya ovyoovyo, haiwezekani nyuchi zote za madem uzijue kama mwanaume, mwanaume hutakiwi kujulikana ovyoovyo, mwanaume hafagilii upumbavu kama ule, ngono kwa mwanaume inaweza isiwepo hata kwenye top 3 ya vitu ambavyo anawaza kwa siku atimize siku moja.


Naweza kuwaza ngono au kumtamani mtu lakini najikaza kiume, najua nikifanya mara moja itanichukua muda kupumzika maana inavutia. So tunajitahidi tu kujizuia ili kuokoa uanaume
 
Sipendelei wanawake, nawapenda sana hasa weupe, ila siwezi kutongoza ovyo ovyo, nalinda brand wanaume tumebaki wachache, ukila sana wanawake unatoka kwenye kundi la wanaume, mwanaume sio malaya wala mzinzi, mwanaume anajiheshimu, mwanaume sio bishoo wa kujiringishia kuwa na madem wengi, mwanaume ni yule nafanya kazi na kupata pesa ambayo mimi napanga naifanyia nini, mwanaume natakiwa nikipita madem waambizane "Ushawahi kula za yule" na majibu yao yawe hapana, mwanaume hatakiwi kuwa na mazoea ya ovyoovyo, haiwezekani nyuchi zote za madem uzijue kama mwanaume, mwanaume hutakiwi kujulikana ovyoovyo, mwanaume hafagilii upumbavu kama ule, ngono kwa mwanaume inaweza isiwepo hata kwenye top 3 ya vitu ambavyo anawaza kwa siku atimize siku moja.


Naweza kuwaza ngono au kumtamani mtu lakini najikaza kiume, najua nikifanya mara moja itanichukua muda kupumzika maana inavutia. So tunajitahidi tu kujizuia ili kuokoa uanaume
Uko wapi.....nimekupenda
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom