Mwanaume Kufanya Mapenzi mbele ya Mwanaume Mwenzako ni Kudhalilishana

Mwanaume Kufanya Mapenzi mbele ya Mwanaume Mwenzako ni Kudhalilishana

Status
Not open for further replies.
Sasa mtu anajiita FOOD yani chakulâ mnahisi ni mzima huyu?
 

Attachments

  • 20240815_140710.jpg
    20240815_140710.jpg
    122.5 KB · Views: 3
Katikati ya maandishi yako kuna vitu nimevihisi.....nimejiuliza na viswali.

1: wewe na huyo bro unaemfata mmetofautiana sana umri ulikua la pili ye la saba, maana yake sio age mate wako, sasa huo urafiki wenu unaunganishwa na nini???? Mbona hata story zenu ni za watu wawili tofauti???

2: we ni mtoto wa kiume, ila mbona una pigo za kike....unaogopa sana wanawake, na haupendi kabisa madem.

3: sorry kwa kukuwazia hivi yani una kau-innocence flani ambako huwa wanako mashoga. Gays wengi huwa wanasound hivyo

4: hapo geto ulikua unaenda kufanya nini??

5: kutokana na hiyo namba tatu hapo juu, possible jamaa kaamua atmbe mbele yako kukuonesha kuwa mwanaume unatakiwa kula na sio kuliwa, na kama we kweli mwanaume rijali jamaa kula mzigo mbele yako ingekustimulate tu.

Mwisho nasisitiza namba 3 na kama nimekuwazia tofauti, basi nsamehe bure

Gazeti kwa gazeti, ubaya ubwela.....
Hakika, huyu dogo kuna namna anatinduliwa ana swagga za kimanta, na sound kama shori, hii ni chakula cha yule bro wake wa darasa la saba.
 
Nimeyakoroga
Hii sauti yako kama ya manzi tena pisi kali, kuwa makini kama kweli wewe ni jemedari jitafakari sana, ila na wasiwasi na wewe kwenye uhandishi na jinsi ulivyo regerege...... Angalia sana na chunga sana marinda yako.
 
Usikubali kufanya mapenzi na mwanaume mbele ya Wanaume wengine.

Nipo Ilemela kwa muda, karibu tule sangara na satoo
Hakuna ngosha rojo rojo wewe ni wakuja, japo nisikuhukumu labda na malezi pia na upole na ustaharabu uliopindukia, wewe ni mwanaume kuwa mwanaume kuwa na macho ya tai na roho kamaa simba.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom