Sam mirror
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 1,461
- 2,238
Du umekosa mishe ya kuandika pole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia u apata sh ngap kwa kunyoa na kukata kucha......! kama unakucha na nywele mbay TuliaNimeamua kuleta thread hii mbele yenu kwa faida za wanajamii wa humu ndani na wengine wa nje.
KWAMBA
mwanaume kupoteza muda mwingi wa kufuga kucha na minywele kibao ambayo hayana faida yoyote wala kipato chochote ni ukosefu wa kazi tuu.
Nimeleta uzi huu kwa nia ya makusudi kabisa ili utoe fundisho kwa wanajukwaa wa aina hii.
Si minywele tuu wala kucha bado vipo vingi unaweza kuongezea vinavyokukera kama wewe mwanajukwaa ambavyo vitasaidia wengi humu wawe kama wanaume kamili
Mwanaume kulala uchi wa mnyama ni upumbavu uliotukuka - JamiiForums
Off