Mwanaume kufuga kucha na minywele ni ukosefu wa kazi

Kwako ndo hamna faida....mimi sioni kama inaathiri kazi zangu...sababu kucha nafuga kidole cha mwisho...na nywele nimefuga za wastani.... Wewe unaeenda saluni kila wiki huoni kama unapoteza muda?
 
Tulia u apata sh ngap kwa kunyoa na kukata kucha......! kama unakucha na nywele mbay Tulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…