Tatoizo sio hasira ni namna ulivyoleta uzi wako kama kitu huelewi ni bara ukauliza japo utapata majibu tofauti tofauti.[emoji1]Pole pole mkuu..kwa sababu hyo hasira itakuwa haina kipimo[emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji86]..tupo pamojaTatoizo sio hasira ni namna ulivyoleta uzi wako kama kitu huelewi ni bara ukauliza japo utapata majibu tofauti tofauti.
Mwanaume tena ninaye jiamini 100%..upo?[emoji4]Hii Post ni ya Mwanamke au Mwanaume, Kama ni Mwanaume Jifikirie Upya
Haaa Haaa haaa mkuu mpe tu somo na wengine wajueMuulize aliwahi kujiuliza kanini polisi hawaruhusiwi kuwa na ndevu ndefu?.
Akikujibu nitag nitoe darasa kidogo.
nishamaliza yangu.mimi povu kama kawaida tuu[emoji4]Hizi mada bana....mwanaume hivi...mwanaume vile....
Hata kuwaza hivyo yaweza kuleta mashaka!
Huenda kuna insecurity flani flani ndo maana mtu unakuwa so overly self conscious na uanaume wako!
Kwa hili neno tu, ambalo wanaume rijali hatulitumii..una kila halali ya kuweka bandiko hiliupo?
Kwa comment hii,umeitendea haki ID yako mkuu.
bado sijajua mkuu.ikiwezekana fanya kuPM kabisaMuulize aliwahi kujiuliza kanini polisi hawaruhusiwi kuwa na ndevu ndefu?.
Akikujibu nitag nitoe darasa kidogo.
Kufuga nywele hayo ni maamuz ya mtu binafsi kwa sabab huwez kuingilia kitu ambacho mtu anakipenda we kwako unaona kufuga nywele ni vibaya its ok..!!! Lkn kuna vitu amabavyo ww unavipenda lkn mtu mwingine akikuona tu anachukia vilvileNimeamua kuleta thread hii mbele yenu kwa faida za wanajamii wa humu ndani na wengine wa nje.
KWAMBA
mwanaume kupoteza muda mwingi wa kufuga kucha na minywele kibao ambayo hayana faida yoyote wala kipato chochote ni ukosefu wa kazi tuu.
Nimeleta uzi huu kwa nia ya makusudi kabisa ili utoe fundisho kwa wanajukwaa wa aina hii.
Si minywele tuu wala kucha bado vipo vingi unaweza kuongezea vinavyokukera kama wewe mwanajukwaa ambavyo vitasaidia wengi humu wawe kama wanaume kamili
Off
Hahhaha..asante kwa povuKwa hili neno tu, ambalo wanaume rijali hatulitumii..una kila halali ya kuweka bandiko hili
Suala la kucha naunga mkono lakini nywele sikuungi. Inategemea na jinsi mtu anavyozitunza nywele zake, wapo wanaoacha afro na linawatoa kichizi kutokana na utunzwaji wakeNimeamua kuleta thread hii mbele yenu kwa faida za wanajamii wa humu ndani na wengine wa nje.
KWAMBA
mwanaume kupoteza muda mwingi wa kufuga kucha na minywele kibao ambayo hayana faida yoyote wala kipato chochote ni ukosefu wa kazi tuu.
Nimeleta uzi huu kwa nia ya makusudi kabisa ili utoe fundisho kwa wanajukwaa wa aina hii.
Si minywele tuu wala kucha bado vipo vingi unaweza kuongezea vinavyokukera kama wewe mwanajukwaa ambavyo vitasaidia wengi humu wawe kama wanaume kamili
Off
Mkuu unatumia chupa kukatia kucha[emoji4] [emoji4] ?Nakumbuka nilivokuwa mdogo maza alikuwa ana mind Sana akiona nimefuga kucha ya kidole kidogo.kwa Kweli haipendezi kwa mwanaume kufuga kucha kwenye nywele sijui
WAZEE WA PICHA.HIVI NDIVYO VIDOLE VINATAKIWA VIWE NADHIFU MUDA WOTEView attachment 881086
Hahaha... mkuu lkn jamii ikichukulia negative, nikuachana Na hiyo issueSafi kabisa.yangu nimemaliza
Kama ushauri tuu mkuu,kwa sababu ni maisha yao
Araaaa.....sirudii kuacha hata Kwa bahati mbay mkuu.....!!!!Kufuga kucha hua inatafsiriwa na wengi kua ni uchoko!
Wapi picha?Nimeamua kuleta thread hii mbele yenu kwa faida za wanajamii wa humu ndani na wengine wa nje.
KWAMBA
mwanaume kupoteza muda mwingi wa kufuga kucha na minywele kibao ambayo hayana faida yoyote wala kipato chochote ni ukosefu wa kazi tuu.
Nimeleta uzi huu kwa nia ya makusudi kabisa ili utoe fundisho kwa wanajukwaa wa aina hii.
Off
Kwakifupi ni kwamba kunyoa ndevu kwa askari niili waweze kupokea amri. Mtu mwenye ndevu ndefu kupokea amri anajiuliza ndipo atekeleze. Na asie nazo nanakubali kirahisi sana.bado sijajua mkuu.ikiwezekana fanya kuPM kabisa