Mwanaume kufuga kucha ni urembo pia?

Mwanaume kufuga kucha ni urembo pia?

rafiki yangu aliwahi kuniambia kucha ndefu hutumika wakati wa faragha na demu ila sijui kama alikuwa serious au utani
 
rafiki yangu aliwahi kuniambia kucha ndefu hutumika wakati wa faragha na demu ila sijui kama alikuwa serious au utani
angalia sana my kaka, utayasikia mengiiiiiii! hachelewi kukwambia pia kuwa kipilipili cha chini nacho chawekwa wave! mie simo!!!
 
angalia sana my kaka, utayasikia mengiiiiiii! hachelewi kukwambia pia kuwa kipilipili cha chini nacho chawekwa wave! mie simo!!!
omg, cacico! kwanza kuna saluni itakayokubali hilo ombi, wadada mnasemaje

 
wala hata hatuwataki wanaume wa jinsi hiyo.

wengi ni wahuni tu!

frankly speeking, i hate it mwanaume anapokuwa na mikucha, i hate mwanaume anapovqa hereni au kata k

hawajuagi mchezo hao kabisa, huwa ni ziro! nachukia kupita maelezo mtu na makucha.

How do you like it? Nambie ili nijirekebishe.

usifuge kucha, usivae kata k wala kuweka hereni my byshenger, ubakie hivyo hivyo ulivyo......

yani hicho ndicho kinanifanya nimchukie diamond napenda mwanamme awe natural hata yule anayetia midawa kwangu mwiko

Lol.. mimi mwanaume mwenye nywele ndefu / kucha ndefu ptuuuuuuuuuuuuu wa kazia gani!!!!!!!!!!

Concluded!!!!

attachment.php
 
hommie Asprin ivi apo juu hiyo thread iko wapi aisee? yaani mwanaume ukiwa ivo baas wewe wala hakuna mwanamke anakulalamikia
 
Last edited by a moderator:
jamani upele humwota asiye nakucha,mi huwa ninafuga mbili kwa jili ya kumdatisha wife wangu..but siyo ndefu sana ziko wastan tu.nyie wadada mnaowachukia wavulana kwa sababu ya hizo kucha mbili hamjawah kukutana na wanaojua kuzitumia kama mimi! Ila mi sipingani na mitazamo yenu.
 
Wadau habari za jioni ya leo.?

Naomba kuuliza wanaume na wanawake kuhusu KUFUGA KUCHA KWA BAADHI YA WANAUME
Hivi inakuwaje mwanaume uliyekamilika kufuga kucha za mikono na kuwa ndefu kupindukia,nini malengo ya kufuga hizo kucha..??
Ni kuonesha kuwa handsome/sharobaro au zina kazi nyingine tofauti.?? Vipi kuhusu kuhifadhi uchafu pindi utokapo chooni...??

Binafsi leo nimetoka ofisi fulani na kuona jamaa mmoja kafuga kucha ndefu sana za mikononi nikashindwa kumuuliza kwa kuwa hatujazoeana na wala siyo ndugu yangu ila nakasema ngoja niwaulize ndugu na jamaa hapa MMU kwa msaada zaidi.

Naomba mawazo yenu tafadhali.
 
wanadumisha sera ya 50/50 i mean haki sawa usikute had make up's za mkewe wanashare.
 
Huwa sijui kwa kweli sijui na wao ni urembo ama vipi unakuta wengine wamefuga kucha kidole kidogo mkono wa kushoto,mimi nahisi utozi tu hakuna la zaidi na kucha kwa mwanaume
 
Huwa sijui kwa kweli sijui na wao ni urembo ama vipi unakuta wengine wamefuga kucha kidole kidogo mkono wa kushoto,mimi nahisi utozi tu hakuna la zaidi na kucha kwa mwanaume
Huyo jamaa niliyemwona leo kafuga vidole vitatu vya mkono wa kushoto,nikajiuliza anakwendaje chooni..? Hlafu ni mwislamu lazima atumie maji aendapo haja ndogo/kubwa haitakiwi toilet paper wakati wa kujisafisha baada ya haja katika Uislamu.
 
Huyo jamaa niliyemwona leo kafuga vidole vitatu vya mkono wa kushoto,nikajiuliza anakwendaje chooni..? Hlafu ni mwislamu lazima atumie maji aendapo haja ndogo/kubwa haitakiwi toilet paper wakati wa kujisafisha baada ya haja katika Uislamu.
Ni ushamba tu wengine wanalimbukia kwa kuiga hata yasiyo ya maana
 
Back
Top Bottom