Mwanaume kuiomba airtime voucher!!!!


wape wape Maty.....wajibebe....wapenda bure na dezo..!!:washing:
 

Hapo ssa ninaweza kujikimu, niombe ili nianze kuambiwa sijui nn tena. Goal keeper au?
 


nakuabaliana nawe 100%.. ila ndio maana nikasema labda yuko mahala ambapo sio rahisi kupata vocha, akaona mtu wa karibu kumsaidia ni wewe kipenzi chake:tongue:
 
umeipata bro? nimekutumia ya 5000....ikiisha ni beep nikuongezee,msalimu Afro!!:washing:
Alright nimeipata 2500 nimempunguzia Afro kwenye simu yake l.o.l, oohhh salamu zimefika kabisa
 
Wanawake kupenda vya dezo . . . NI SAWA
Wanaume . . . SIO SAWA

Lakin hapo hapo wanawake wanataka USAWA??? :lol::lol::lol:
 
Mimi nikimuomba mwanamke vocha ya buku 2 ujue nina shida ya hatari sana, na niko sehemu ambayo hakuna benk wala vocha

Sasa unaona kumbe unajua mwanaume hatakiwi kuomba vocha ni aibu ujue au usikie eti simu inakwisha pesa nipigie kha!!! Nitakupa kibuti hicho hujawahi kukiona aibuuuuu dume zima eti naomba vocha.
 
Kwani hicho unacho jigamba nacho kitamu?

Hicho kina radha ya chumvi mama sio kitamu.

mi sijajigamba babu,usinisemee........kama kwako kina ladha ya chumvi kwa wenzio chaitwa kitamu na uchumvi chumvi wake.....haipendezi kuomba vocha....labda kama una tatizo linaloeleweka !! tabia mbaya!!:washing:
 
ha ha ha ha ha haa:lol::lol::lol: mbona mnakua wakali namna hii jamani? si buku mbili tu?:lol:

Samora na wewe unaomba vocha?? Hebu acha kutia aibu bana buku mbili unakosa pesa ya nyama choma utatoa wapi??
 
Sasa unaona kumbe unajua mwanaume hatakiwi kuomba vocha ni aibu ujue au usikie eti simu inakwisha pesa nipigie kha!!! Nitakupa kibuti hicho hujawahi kukiona aibuuuuu dume zima eti naomba vocha.

DA
Mimi nimeongelea kwa upande wangu tu, lakin sihalalishi mwanaume hawezi kuomba vocha
Hivi kwanini kwenye masuala ya pesa za mwanamke kutumiwa na mwanaume inakuwa ngumu sana???
Any reason plse???
 
mi sijajigamba babu,usinisemee........kama kwako kina ladha ya chumvi kwa wenzio chaitwa kitamu na uchumvi chumvi wake.....haipendezi kuomba vocha....labda kama una tatizo linaloeleweka !! tabia mbaya!!:washing:

Hahahaha chumvi inageuka tamu hii sayansi kiboko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…