Mwanaume kuiomba airtime voucher!!!!

Mwanaume kuiomba airtime voucher!!!!

DA
Mimi nimeongelea kwa upande wangu tu, lakin sihalalishi mwanaume hawezi kuomba vocha
Hivi kwanini kwenye masuala ya pesa za mwanamke kutumiwa na mwanaume inakuwa ngumu sana???
Any reason plse???

Wewe ndo mzee wa nyumba halafu unataka mama ndo awe mwenye nyumba?? Lazima uonyeshe wewe ndo mwenye nyumba bana
 
Haki sawa hakuna wala nini kwanza si mshukuru siku hizi tunafanya kazi hatuwaombi ombi wanaume bana usipomuomba hela anabadilisha kiabao anaanza yeye kwa kudhani labda unazo sana kumbe basi tu mtu uso umeumbwa na haya kama unapata kidogo cha kukutosheleza uombe ombe ili iweje? sasa hivi wanawake wengi tu hawana tabia ya kuomba omba

hapana Maty kama huombi ni wewe na wengine wachache lakini majority ya wanawake ni 'kama kawa kama dawa' hata kama kamzidi mwanaume kipato
 
Mimi na wewe tunajuana so nikiwa nimepigika sioni tatizo kukwambia lakini ingekuwa ndio mara ya kwanza tumekutana dah aisee ingekuwa ngumu

Maneno hayooooo
That's what I'm talking about
Angesubiri kidogo tu
Mpaka aitwe mpenzi
Hahaha lol

We bado hujaniomba vocher
Embu niombe haraka
hahahahahahahah lol
 
hahhaha huyu kaishiwa sera hana lolote sio kama yuko mahali si rahisi kupata vocha.do tabia yake yaonyesha.
kwanini kila akipiga simu akiongea anasema please call me back,kama alikuwa ameamua kuoiga simu, aweke aitime yakutosha sio kutaka kuigiwa eboo..nani anamtaka mwenzake sasa,ningeanzisha kumtaka ningekuwa nampigia bila tatizo.hee!ajabu


Na ungemtongoza wewe huyo ungeshangaa
 
Wewe ndo mzee wa nyumba halafu unataka mama ndo awe mwenye nyumba?? Lazima uonyeshe wewe ndo mwenye nyumba bana

Halafu nyie mnataka usawa kwenye nini na nini??:lol::lol:
 
Kumdhalilisha vipi sasa?kwani mfanyakazi mtongozaji ndo ana haki ya kuomba vocha?
angekuwa mshkaji sawa ningeona kawaida,ila siku zoote tuko kama strangers ni hi hi
kumbe mwenzangu anakufa kisabuni ,akaamua kuvunja ukimya
sasa ndo uniombe nikupigie na vocha juu!!
Hivi kuna mtu ananielewa kweli?au wote mnaona namfanyia mbaya????????

We dada ni vile tu hujampenda huyo kaka lakini ingekuwa kwamba roho yako imemkubali walahi ungempa hiyo voucher. mbona sioni tatizo???
 
Wanaambiwa hivi ili wasijisikie vibaya, lakin uchumvi-chumvi uko pale pale :juggle::lol:

:lol::lol::lol:

😛anda:😛anda:😛anda:

ha ha ha ha tujisikie vibaya kwanini wakati hata pangekuwa pa chachu hamchoki kutaka kufika hapo? semeni yote ila wengine hadi wanafikia hatua ya kukana viapo na wengine kuua, kufisadi ili wapate tu kufika hapo....mna tabu nyie viumbe...acheni kuomba vocha!!
 
hapana Maty kama huombi ni wewe na wengine wachache lakini majority ya wanawake ni 'kama kawa kama dawa' hata kama kamzidi mwanaume kipato

Hakupendi huyo mpenzi unalazimisha penzi hapo stuka! unajua mwanaume kama ni mpenzi wako na mmezoena akiwa hana hela utamjua tu, na hapo lazima nimsaidie kama ninacho lakini unaona kabisa huyu mpenzi wangu wa siku nyingi na kipato anakuzidi lakini hata siku moja hatoi kuomba omba tu uyo dada hakupendi. Yaani na wewe kusoma hujui hata kuangalia picha
 
Na hazinduki mpaka kikombe cha babu :lol::lol:


ha ha ha ha ha haaa :lol::lol:

hawa watu bana sijui ni usawa gani wanaodai, kila siku wanaupiga vita mfumo dume.. sasa kuombwa vocha tu mishipa imeshawashupaa
 
Maneno hayooooo
That's what I'm talking about
Angesubiri kidogo tu
Mpaka aitwe mpenzi
Hahaha lol

We bado hujaniomba vocher
Embu niombe haraka
hahahahahahahah lol
Ahaaa ahaaa sugarcake naomba unitumie vocha ya tigo ya 500
 
😛anda:😛anda:😛anda:

ha ha ha ha tujisikie vibaya kwanini wakati hata pangekuwa pa chachu hamchoki kutaka kufika hapo? semeni yote ila wengine hadi wanafikia hatua ya kukana viapo na wengine kuua, kufisadi ili wapate tu kufika hapo....mna tabu nyie viumbe...acheni kuomba vocha!!

Hapo umeombwa vocha ya jelo una ng'aka hivyo je ukiombwa pesa ya kulipia pango si utalipuka?
 
@MESTOD- ningemuomba anipe ina mana ya kwamba tayari angekuw ani mpenzi wangu so nisingekuja kulalamika,ila kwasababu sio mpenzi wangu na ndo yuko kwenye stage ya kunitongoza ndo mana kaniPUT OFF.

@Samora- sijawahi kukutana nae physically i.e. kama unamaanisha sexual intercourse..nimesema ni mtu ninafanya nae kazi nothing more.

Wanaume mnafurahisha sana,hapa mnajaribu kutetea lakini deep down ur hearts mnajua jamaa kachemsha..nyie wote mnaojibu hapa je mmewahi au mnaweza kufanya hivyo??
nijuavyo mimi mwanaume mara ya kwanza lazima ajitutumue ili aonekane yeye anaweza na sio kujishusha na kutafuta mteremko.

hata kama hatujawahi lakini haimaanishi hatutawahi....maji yakizidi unga unakua huna jinsi.usawa wenyewe huu ukijitutumua zaidi ya uwezo wako si utakufa kibudu bure
 
Back
Top Bottom