Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,080
- 4,273
DA
Mimi nimeongelea kwa upande wangu tu, lakin sihalalishi mwanaume hawezi kuomba vocha
Hivi kwanini kwenye masuala ya pesa za mwanamke kutumiwa na mwanaume inakuwa ngumu sana???
Any reason plse???
Wewe ndo mzee wa nyumba halafu unataka mama ndo awe mwenye nyumba?? Lazima uonyeshe wewe ndo mwenye nyumba bana