yani acha tu dear....mwanaume mtu mzima anakudekea kama vile wewe mama yake...anabana pua kabisa akiomba vocha.....:tongue:
TF is a real man ....akikuomba vocha mpe tu ila hana tabia hiyo!!:washing:
Hapo hatujawaambia wafanye kazi zingine za kiume
halafu mkishatwambia nyinyi mnaanza kufanya kazi za kike kama kuzaa n.k. Mbona mnapenda kujidhalilisha wanaume wa sasa. Kila mtu na abaki na majukumu yake ambayo mwenyezi mungu alimpangia mengine pande zote mbili ziamue kusaidiana tu na si lazima
Leo nimeamua kutumia tigo dearHahahahahahahah lol tigo
Mmmhhh umehamia TIGO lini?
mi nilidhani bado wote tuko celtel
Hahah lol
haya waomba vocha wote wanyooshe vidole :lol::lol:
Wanasema kuishi kwingi kuona mengi.lol
Michelle l.o.l:lol::lol::lol:yani acha tu dear....mwanaume mtu mzima anakudekea kama vile wewe mama yake...anabana pua kabisa akiomba vocha.....:tongue:
TF is a real man ....akikuomba vocha mpe tu ila hana tabia hiyo!!:washing:
Kazi gani za kiume?? Na kazi gani za kike?? Weka wazi
haya waomba vocha wote wanyooshe vidole :lol::lol:
Wanasema kuishi kwingi kuona mengi.lol
ha ha ha ha ha :lol::lol::lol: 😛hoto:
Mtumie mwenzako vocha acha kumbania sio vizuri:lol:haya waomba vocha wote wanyooshe vidole :lol::lol:
Wanasema kuishi kwingi kuona mengi.lol
Hahahaha!
Wanaume mmefulia hadi mnaanza mizinga! Lol!
Sio wote jamani, msije nishambulia.
Sweet dada mwambie hupendi mizinga yake ya vocha. Bado kidogo ataomba hela ya kula.
Hahahaha!
Wanaume mmefulia hadi mnaanza mizinga! Lol!
Sio wote jamani, msije nishambulia.
Sweet dada mwambie hupendi mizinga yake ya vocha. Bado kidogo ataomba hela ya kula.
:lol::lol::lol: Kumbe inawauma na nyie kuombwa vocha basi mkae mkijua kuwa na sisi huwa inatu-put off nyie kutuomba vocha every now and then, sweetdada leo imekula kwako acha kubana mtumie mshikaji vocha banaa mbona nyie mkituomba huwa tunawatumia halafu mnaishia kutu-beep:lol::lol::lol:
Hapo sasa unaenda kusiko
Kuzaa ni nje na uwezo wa binadamu yeyote
Kwani kuomba vocha ni kazi ya kike au ya kiume??? Au kuomba vocha mlipangiwa na Mungu???
Wanandugu wapendwa hope mu wazima..
Hee!!nimeshangazwa na kitenndo cha mwanaume mmoja eti ananisumbua kwa muda wa mwezi kwa madai ananipenda..sasa cha kushangaza na ambacho sielewi..kila akipiga simu ataongea dakika tano afu ananambia"please call me back credit inaisha"...
hee!!mi nabaki kutoa macho huyu vipi??na mi namwambia hata mie yangu imeisha basi nikisema hivyo anaendelea kuongea..
cha kuchekesha leo asubuhi kanipigia tena simu kaongea mwisho akasema "nitumie vocha ya 2000 basi"..hee!!mi nikabaki mdomo wazi,nikamwambia sina hela..akakata simu.
Jamani nimeshangaa ajabu sijawahi kuona dunia nzima mwanaume anakuwa hivi especially akiwa anatongoza..huyu hata kama anataka kunifanya mie 'kitonga' si angesubiri basi akubaliwe..akaaa!!kani put off mnooo na kaniharibia siku yangu ya leo ..mxiiiiiii
Wanaume ndo mnaenda wapi kwa hii style jamani aii
The Following User Says Thank You to Shantel For This Useful Post:Its your duty bwana the finest hata kwenye vitabu vya dini vimeandika lazima mkamuliwe tu msikwepe majukumu yenu, hii hata mimi sijaipenda mwanaume kufanya kitu hiki nashukuru mie siombwi vocha. kuna sababu za kuombwa labda yupo sehemu mbali na maduka hii inaeleweka.hii imekaa kinyume sana
Nilikujibu wewe uliesema je tukiambiwa tufanye kazi za kiume, ndio maana nikakuuliza na sisi tukiwaambia mfanye kazi za kike mtaweza? ndio maana nikatolea mfano kuzaa, wewe ndio hujaelewa