Mwanaume kuiomba airtime voucher!!!!

Mwanaume kuiomba airtime voucher!!!!

Mbona ulivyokuwa ukitongozwa hujasema? wewe vipi? kama ulifika mpaka kumpa namba yako na kumsikiliza why kumpa voucher? wewe ungemuomba? kama mtu anakupigia kama credit inaisha means unamsikiliza kabisa na kumpa hope why not kumsaidia aendelee kukuimbisha kama nyimbo zake unazikiliza?

hiyo red..rejea sred utaona kuna nilipojibu hili swali..kwa kukusaidia tu ni mfanyakazi na kila mfanyakazi anafahamu namba ya mwenzake kikazi zaidi.

-nilipotongozwa sikusema mana si jambo la ajabu ila kuombwa vocha wakati unanitongoza ni ajabu haijawahi kutokea
-anaongea dakika hata tano hazifiki anasema call me back pls..hiyo kuomba aliiomba out of the blue kapiga na kusema nitumie vocha ya elf 2
-sijawahi kumpa hope nilimpa black and white kuwa simtaki
-hata kama ukimkataa mtu haimaanishi akikuongelesha ndo uuchune huo tena utakuwa uswahili
 
nilitaka kupima boiling point yenu...:juggle:
Aisee yaani nimecheka sana wakati nafuatilia huu uzi. Kilichonishangaza ni jinsi ambavyo wengi wa dada zetu hapa hawakugundua mapema kuwa mnawayeyusha tu. Yaani mmewayeyushaa weeeeee, na wao masikini wanagombana na kiibodi tu lol.
 
VOUCHER NA HOFA KWA MWANAUME, KWA MWANAMKE... SIJASEMA MIE!:ballchain:


Wanandugu wapendwa hope mu wazima..

Hee!!nimeshangazwa na kitenndo cha mwanaume mmoja eti ananisumbua kwa muda wa mwezi kwa madai ananipenda..sasa cha kushangaza na ambacho sielewi..kila akipiga simu ataongea dakika tano afu ananambia"please call me back credit inaisha"...
hee!!mi nabaki kutoa macho huyu vipi??na mi namwambia hata mie yangu imeisha basi nikisema hivyo anaendelea kuongea..
cha kuchekesha leo asubuhi kanipigia tena simu kaongea mwisho akasema "nitumie vocha ya 2000 basi"..hee!!mi nikabaki mdomo wazi,nikamwambia sina hela..akakata simu.

Jamani nimeshangaa ajabu sijawahi kuona dunia nzima mwanaume anakuwa hivi especially akiwa anatongoza..huyu hata kama anataka kunifanya mie 'kitonga' si angesubiri basi akubaliwe..akaaa!!kani put off mnooo na kaniharibia siku yangu ya leo ..mxiiiiiii

Wanaume ndo mnaenda wapi kwa hii style jamani aii
 
Inawezekana umekaa ki-sukari mama (sugarmummy) zaidi. Tafakari chukua hatua.
 
Huyo jamaa ni MARIO chukua hatua mapema! Kuna wengine utasikia sorry una laki hapo .
 
Aisee yaani nimecheka sana wakati nafuatilia huu uzi. Kilichonishangaza ni jinsi ambavyo wengi wa dada zetu hapa hawakugundua mapema kuwa mnawayeyusha tu. Yaani mmewayeyushaa weeeeee, na wao masikini wanagombana na kiibodi tu lol.

Hahahahahahahah lol
umenifanya na mie nicheke
daahh kweli lakini
Tumekasirikia keyboard
Dahh kuna hatari kweli
Bp na shell imetupanda
For no reason lol
 
Wanandugu wapendwa hope mu wazima..

Hee!!nimeshangazwa na kitenndo cha mwanaume mmoja eti ananisumbua kwa muda wa mwezi kwa madai ananipenda..sasa cha kushangaza na ambacho sielewi..kila akipiga simu ataongea dakika tano afu ananambia"please call me back credit inaisha"...
hee!!mi nabaki kutoa macho huyu vipi??na mi namwambia hata mie yangu imeisha basi nikisema hivyo anaendelea kuongea..
cha kuchekesha leo asubuhi kanipigia tena simu kaongea mwisho akasema "nitumie vocha ya 2000 basi"..hee!!mi nikabaki mdomo wazi,nikamwambia sina hela..akakata simu.

Jamani nimeshangaa ajabu sijawahi kuona dunia nzima mwanaume anakuwa hivi especially akiwa anatongoza..huyu hata kama anataka kunifanya mie 'kitonga' si angesubiri basi akubaliwe..akaaa!!kani put off mnooo na kaniharibia siku yangu ya leo ..mxiiiiiii

Wanaume ndo mnaenda wapi kwa hii style jamani aii
tunafeel the same way kwa sababu kwanini mwanaume awe wa kutumika tu aumize kichwa kupanga maneno ya kukutongoza,aanze kukuhudumia kwa kila kitu na mlivyo wa ajabu ukiona tu jammaa anakumendea unapanda bei ghafla. hiyo haitoshi hata tukiwapa kila kitu mnaanza oh he doesnt satisfy me au oh haendi na wakati.so its our time now to get rid of you sasa ni kazi kwenu kututongoza
 
Da! Wanaume tunapoteza malengo hata kwenye bible iliandikwa mwanamke atazaa kwa shida na sisi tutatafuta kwa jasho na zaidi yeye ametoka kwenye ubavummoja kutoka kwetu. sina maana kua ni sawa kama huyu dada alivyo fanya laa huyu dada kakosa nidhamu awezi kuwa na mawasiliano nae mda then leo kuombwa voucher atangazie ume anamatatizo au amezoea kuomba akiombwa uchukia je emejichungaza yeye? huyu kaka wenda katika kule kumpenda zaidi anachokiona yeye anafanya vizuri labda anaona wakishare vitu ndio upendo halisi kumbe ni elimu tuu huyu anatakiwa kupewa kuwa mwanaume lazma awe strong kama mama zetu walivyotulia na kutuundisha je sisi tunavyoomba au wao wanavyotuomba tufanye kama huyu binti halivyofanya?


wee binti jichunguze wenda ukwa mapepe or wa changu ni changu na chako ni changu fikiria
 
Back
Top Bottom