Mwanaume Kujiamini ni Silaha Tosha Kwenye Mahusiano

Kwahiyo nimkubalie tu eeh?
Yani usikariri kwa lazima mwanaume akufuate akiwa anajiamini ...kuna mwingine anakuelewa kiasi kwamba hata akiwa anaongea na ww anakua anatetemeka just bcoz anakupenda sana so ww ukijifanya unamkubalia mtu kutokana na principle zako hizo ulizo jiwekea unaweza ukakosa mtu sahihi
 
Mh! Haya umeeleweka. 🙂🙂🙂 kumbe kupendana humu ni majaribu makubwa. CC: Smart911 mahondaw
Hao ulowatag hawana shida washazoea mimi jamani nilivyo na wivu siwezi kuelewa. Sijui umuite mtu bby au uandike mavitu ya ajabu ntakumeza.
 
Labda hajakupenda jamani anakuja kula tu na kunywa sasa awahi kufanya nini [emoji16][emoji23][emoji23]
[emoji13] [emoji13]
We mzigua90 weee!
Njoo kula kunywa ukishiba basi useme tu sijakupenda!!
Gentleman atakuelewa na atakupa nauli nyingi urudi nyumbani.
Ila usiombee ukutane scopion atatoa hayo macho
 
Kaka akee hakuna majaribu yoyote inategemea na huyo mpenzi wako tu yuko na akili ya vipi
Mh! Haya umeeleweka. 🙂🙂🙂 kumbe kupendana humu ni majaribu makubwa. CC: Smart911 mahondaw
Tumesikia ila wivu muhimu bwana BAK. Mi mwenyewe siku nikiwa na bwana humu sitataka hata wanawake walike post zake [emoji23][emoji23][emoji23]
Mxxiuuew mbona mm mbebez wangu simfatilii kalikewa na nani wala kaquotuana na naniii utagombana na wangapi na kununiana nao
 
Wala bwana sijampenda kimapenzi. Siwezi mazoea ya hivyo na mtu ninaefanya nae kazi.
 
Wooooooooozeeeeeer nakazia kaka akee ni ujinga tu utanunia wangapiiiii we angalia unapendwa vipii wengi tungekuwa hivyo sijui ingekuwaje
 
[emoji13] [emoji13]
We mzigua90 weee!
Njoo kula kunywa ukishiba basi useme tu sijakupenda!!
Gentleman atakuelewa na atakupa nauli nyingi urudi nyumbani.
Ila usiombee ukutane scopion atatoa hayo macho
Akinitoa macho kapenda ila ntakua nshashiba na nauli nshachukua moyo mweupee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kwanza nakula nini au nakunywa nini hadi unitoe macho
 
Kaka akee hakuna majaribu yoyote inategemea na huyo mpenzi wako tu yuko na akili ya vipiMxxiuuew mbona mm mbebez wangu simfatilii kalikiwa na nani wala kaquotuana na naniii utagombana na wangapi
Sigombani na nyie jamani wakunyumba. Ntadeal na bwana tu. Nianze kukukasirikia Shunie kisa umemquote bwana angu inahusu? Siwezi sema pm ntakua najibu mwenyewe [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…