Mwanaume Kujiamini ni Silaha Tosha Kwenye Mahusiano

Mwanaume Kujiamini ni Silaha Tosha Kwenye Mahusiano

Toka siku nimekuona kiukweli naweweseka sana!hunitoki akilini kabsa mzigua!hadi nimejitoa kukufata tambua akili zangu zilianza kuwehuka ukichukulia usiku sipati usingizi nikikuwaza.nakupenda kweli kwa dhati niamini uniachie moyo wako wote sitakuja kukuumiza.
Kweli nimeona wengi kote nnapopita lakini we ndo ndio chaguo langu.
Hakuna mwingine atakaeniondoa katika hali hii isipokuwa wee mzigua.


Nipe max hapo mzigua90 kama mistari hiyo nakushushia huku nanyenyekea na magoti napiga hahahah
 
Toka siku nimekuona kiukweli naweweseka sana!hunitoki akilini kabsa mzigua!hadi nimejitoa kukufata tambua akili zangu zilianza kuwehuka ukichukulia usiku sipati usingizi nikikuwaza.nakupenda kweli kwa dhati niamini uniachie moyo wako wote sitakuja kukuumiza.
Kweli nimeona wengi kote nnapopita lakini we ndo ndio chaguo langu.
Hakuna mwingine atakaeniondoa katika hali hii isipokuwa wee mzigua.


Nipe max hapo mzigua90 kama mistari hiyo nakushushia huku nanyenyekea na magoti napiga hahahah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bwana kutongozana kizamani mi siwezi.
 
Wanaume huwa mnaamini mwanamke mwenye muonekano fulani hawezi kuwa na wewe. Kwa mfano mwenye kazi nzuri kukuzidi au mwenye mvuto unaohisi wewe humfai. Mnachokosea ni kwamba mwanamke akikupenda hata uwe muokopa makopo atakukubalia. Ukiwa unapiga sound usianze kutumia maneno ooh najua mimi sio level yako we mzuri sana wewe una kipato kunizidi wewe this wewe that blah blah. Nenda kwenye point sio kuanza kujilalamisha uonewe huruma. Mwanaume ukijiamini hata uweje utapata mwanamke unaemtaka. Kazi yako au muonekano wako hauhusiani na mapenzi yako.
Natamani huyu kaka alonipigia simu saa hizi asome hapa maana hata kama nilipanga kumkubali basi tena keshanikosa.
Hata km amekukosa pia usijipe guarantee km kila siku utakua unafuatwa tuu ..umri pia unaenda ....
 
Huu ni ukweli, me nakula dakta japo na kidigree changu akina kazi, ila huwa nikipiga biti ni kama me ndio dakta. Penda sana my better half.
 
Wanaume huwa mnaamini mwanamke mwenye muonekano fulani hawezi kuwa na wewe. Kwa mfano mwenye kazi nzuri kukuzidi au mwenye mvuto unaohisi wewe humfai. Mnachokosea ni kwamba mwanamke akikupenda hata uwe muokopa makopo atakukubalia. Ukiwa unapiga sound usianze kutumia maneno ooh najua mimi sio level yako we mzuri sana wewe una kipato kunizidi wewe this wewe that blah blah. Nenda kwenye point sio kuanza kujilalamisha uonewe huruma. Mwanaume ukijiamini hata uweje utapata mwanamke unaemtaka. Kazi yako au muonekano wako hauhusiani na mapenzi yako.
Natamani huyu kaka alonipigia simu saa hizi asome hapa maana hata kama nilipanga kumkubali basi tena keshanikosa.
Ingekuwa kujiamini tuu kunafanya upate demu .. Bhas nafkir ma baunsa na ma bondia wangekuwa wanajilia watoto wazur wao peke yao...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bwana kutongozana kizamani mi siwezi.
Tatizo wanawake wa kibongo appointment hawazijui.
Anyway tunakutana sehem baada ya salam na kukutolea tabasam zito nakuuliza lini utakuwa na muda nikualike lunch,breakfast au dinner??!!sawa tunakubaliana kwamba day after tommorow dinner sehemu flani pia kwa ajili ya kufahamiana vizuri.
Inafika siku unazingua hufiki si bora uchelewe but ufike na ton of excuses!
Simu unazima!it doesnt work like that!
Sasa nifanyaje acha nikutongoze kitoto tuuu na uongoo kibao ili nimege
 
Wanaume huwa mnaamini mwanamke mwenye muonekano fulani hawezi kuwa na wewe. Kwa mfano mwenye kazi nzuri kukuzidi au mwenye mvuto unaohisi wewe humfai. Mnachokosea ni kwamba mwanamke akikupenda hata uwe muokopa makopo atakukubalia. Ukiwa unapiga sound usianze kutumia maneno ooh najua mimi sio level yako we mzuri sana wewe una kipato kunizidi wewe this wewe that blah blah. Nenda kwenye point sio kuanza kujilalamisha uonewe huruma. Mwanaume ukijiamini hata uweje utapata mwanamke unaemtaka. Kazi yako au muonekano wako hauhusiani na mapenzi yako.
Natamani huyu kaka alonipigia simu saa hizi asome hapa maana hata kama nilipanga kumkubali basi tena keshanikosa.
Back to the room we had, what went wrong?
 
Tatizo wanawake wa kibongo appointment hawazijui.
Anyway tunakutana sehem baada ya salam na kukutolea tabasam zito nakuuliza lini utakuwa na muda nikualike lunch,breakfast au dinner??!!sawa tunakubaliana kwamba day after tommorow dinner sehemu flani pia kwa ajili ya kufahamiana vizuri.
Inafika siku unazingua hufiki si bora uchelewe but ufike na ton of excuses!
Simu unazima!it doesnt work like that!
Sasa nifanyaje acha nikutongoze kitoto tuuu na uongoo kibao ili nimege
Labda hajakupenda jamani anakuja kula tu na kunywa sasa awahi kufanya nini [emoji16][emoji23][emoji23]
 
Wanaume huwa mnaamini mwanamke mwenye muonekano fulani hawezi kuwa na wewe. Kwa mfano mwenye kazi nzuri kukuzidi au mwenye mvuto unaohisi wewe humfai. Mnachokosea ni kwamba mwanamke akikupenda hata uwe muokopa makopo atakukubalia. Ukiwa unapiga sound usianze kutumia maneno ooh najua mimi sio level yako we mzuri sana wewe una kipato kunizidi wewe this wewe that blah blah. Nenda kwenye point sio kuanza kujilalamisha uonewe huruma. Mwanaume ukijiamini hata uweje utapata mwanamke unaemtaka. Kazi yako au muonekano wako hauhusiani na mapenzi yako.
Natamani huyu kaka alonipigia simu saa hizi asome hapa maana hata kama nilipanga kumkubali basi tena keshanikosa.
Nipe mawasilano nije maana nshapata kujiamini sasa. Kumbe ni simpo tu ivo dah! Sijui nilikua wapi siku zote. Nakuja huko
 
Back
Top Bottom