Mwanaume Kujiamini ni Silaha Tosha Kwenye Mahusiano

Mwanaume Kujiamini ni Silaha Tosha Kwenye Mahusiano

Wanaume huwa mnaamini mwanamke mwenye muonekano fulani hawezi kuwa na wewe. Kwa mfano mwenye kazi nzuri kukuzidi au mwenye mvuto unaohisi wewe humfai. Mnachokosea ni kwamba mwanamke akikupenda hata uwe muokopa makopo atakukubalia. Ukiwa unapiga sound usianze kutumia maneno ooh najua mimi sio level yako we mzuri sana wewe una kipato kunizidi wewe this wewe that blah blah. Nenda kwenye point sio kuanza kujilalamisha uonewe huruma. Mwanaume ukijiamini hata uweje utapata mwanamke unaemtaka. Kazi yako au muonekano wako hauhusiani na mapenzi yako.
Natamani huyu kaka alonipigia simu saa hizi asome hapa maana hata kama nilipanga kumkubali basi tena keshanikosa.
mwanamke ambaye aliwahi kunitamkia uso kwa uso kuwa mimi sio hadhi yake, sio handsome anaowatafuta etc ndio mwanamke ambaye sasaivi ana mtoto wangu kila mwisho wa mwezi anasumbua simu nimtumie matumizi ya mwanangu, na mimi nalea na yeye nampa ya kula vilevile as a friend. ila alinichamba balaa siku ya kwanza na nikimwangalia naona inatoka moyoni, nikarudia tena nikamsogeza within a week afu akanikera nikamwambia basi kila mtu achukue hamsini zake....hahaha huwezi amini within just a week alipiga magoti kama mimi padri anaomba msamaha nisimuache kwasababu haoni kama atapata mwanaume mwingine mwenye kumjali mwanamke, alinisumbuaaaa siku moja tuko kwenye majambo nikaona kama utani akiwa amekolea anatamka maneno yake ya kichaga ati anataka mimi nimpe mimba abaki na damu yangu, alihamia kwangu miezi kadhaa akapata mtoto wangu akaondoka naye, na kweli amebaki na damu yangu. alisema anajua mimi sitamuoa kwasababu tiari nilikuwa na ndoa, lakini anataka tu abaki na damu yangu....nilicheka sana.
 
Hapana. Mkaka mzuri tu na nilimsifia kwa driver wetu mmoja naona kaenda kumjaza basi na yeye akaja na kigezo chake cha udereva apate papuchi
Daah! Alitaka kuendesha papuchi kirahisirahisi hivo?! Give him a lifetime ban....hahahahah
 
Naona mkuu umepata mahali pa kufanyia marketing hahaha.

Wapiga kelele mara nyingi siyo watendaji, punguza kelele.
sawa mzee, we kwenda, huwa sibishani na wanaume manake utanipa nini, bora kwenye suala hili nijibizane na wanawake ambao wanaweza kunipatia kitu, kwani wewe una nini cha kutoa?
 
sawa mzee, we kwenda, huwa sibishani na wanaume manake utanipa nini, bora kwenye suala hili nijibizane na wanawake ambao wanaweza kunipatia kitu, kwani wewe una nini cha kutoa?

I was just giving you strategies, you can take it or leave it.

Wahenga huwa wana msemo wao wa debe tupu haliachi kupiga makelele, ukiongea ongea sana utashtukiwa. Just keep it cool.
 
Yaap wapo hao wanaotumia kama kigezo ila si woteHili la kwako linanikuta sana Mimi wananiogopa mpk najishtukia my dear na hivi naishi uswazi ndo looh!

Najikuta nakaa naishi na ugwadu wangu tu!na siwezi kujitongozesha basi daahh!napambana tu hali ilivyo!!

Kuna mtu pale kitaa nimemzoea as a friend kuna siku walimuuliza umemzoaje yule dada[emoji23] [emoji23] mtu wenyewe miye mbuzi tuu sina lolote!

Sasa nimekuelewa, asante kwa kunipa notice za wapi nianzie.

Cc Mzigua90 asante sana mchumba kwa kuanzisha hii thread.

Kuna mtu naomba asione hii thread.
 
kusema ukweli toka moyoni, hata story za "mwanaume domo zege" mimi huwa naziskia tu kwa watu huwa siamini kama mwanaume unaweza kabisa kushindwa kumapproach mwanamke na kuongea naye....unamfuata tu kama akikataa unarudia tena, uking'ang'ania bado tu anakataa ukathibitisha hakupendi si unamwacha unatafuta mwingine?....mapenzi ya wazungu ya kwenye tamthilia ati unampenda afu humwambiii siku mwenzio akichukua kitu unaugua ugonjwa wa moyo...
Unasubiri subiri kutoa la moyoni ukishtuka wenzio wanakula
 
Yaap wapo hao wanaotumia kama kigezo ila si woteHili la kwako linanikuta sana Mimi wananiogopa mpk najishtukia my dear na hivi naishi uswazi ndo looh!

Najikuta nakaa naishi na ugwadu wangu tu!na siwezi kujitongozesha basi daahh!napambana tu hali ilivyo!!

Kuna mtu pale kitaa nimemzoea as a friend kuna siku walimuuliza umemzoaje yule dada[emoji23] [emoji23] mtu wenyewe miye mbuzi tuu sina lolote!
Mi kauzu kweli mtu akinitongoza lazima awaze. Mtaani ndo kabsaaaaa maana sinaga habari ni mambo poa nimepita. Wanaishia kula kwa macho
 
I understand, and nakubaliana na wewe that you have to express your feelings whatever the situation is, but my point is we Men , Tunatakiwa kuweka mazingira rafiki ambayo yatakufanya kuwa na confidence ya kuwa na Msichana/Mwanamke fulani and hapa sijazungumzia specific about Money, hapa nimeinclude issues kama personality, attitude etc.
Okay mkuu nimekuelewa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] sasa si najijua ndo maana nasema
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Huwezi kujijua isipokuwa wana jamii ndio tunaokujua kwa kukuona Mzigua

Ukiwa mzuri sana wanaume wengi wanakuwa wanakugwaya kwa kuhofia kuwa huenda unamilikiwa/unatakiwa kumilikiwa na mwanaume wa hadhi ya matawi ya juu sana
 
Hahahahahaha......mbona kawaida tu, huko huwa tunatoa mapepo kitaalamu zaidi ikiwa ni pamoja na kutumia mbinu ambazo hujawahi kuziona au kuzisikia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nitakaribia huko
 
si unaona sasa? usitushangae. pia kuna over thinking about something. unaweza kuifikiria changamoto fulan sanaaaaaaa kabla hujachukua hatua yoyote, so by the time unaanza kuchukua hatua, ulishatengeneza picha flan ngumu kichwani.

ndo hivi unakuwa hueleweki unasema nn....

si kwenye mapenzi tuu.., hata mambo mengine ya maisha.

usishangae sana, we mconside mshkaji atakaa sawa tu muda siyo mrefu, na utaenjoy uanaume wake muda si kitambo
Sijampenda kimapenz bwana na siwez kutoka na mtu tuonana karibia kila siku tena ofisini.
 
Back
Top Bottom