Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Khaaaaaaa naaanzaje kumwambia afungue jamani
Front huu utani wa ngumi ujue tehtehHii ni kwa wanawake pia ambao hawajiamini kwamba wanaweza kuwa na njemba mwenye muonekano au status A au B. Saa zote huwa na wasiwasi kwamba hapendwi na hata kuanza kujenga chuki dhidi ya KE wengine kisa tu ni
wasiwasi wake hao KE wengine wana mahusiano ya kimapenzi na mpenzi wake. KUJIAMINI KWENYE PENZI NI MUHIMU SANA.
NiniKheeeeeee
Haaa!kumbeeNani huyo embu ntajie jina mchumba
AiseeeSakayo akili yake anaijua mwenyewe nimemshindwa mie
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji2] [emoji2] [emoji2] too late to catch the moving train
Your explanation and conclusion insinuate that.... Any way sio mbaya, mfikirie tu jamaa [emoji1] [emoji1] [emoji1]None of the above sir!!
Teynaa usijaribuuKhaaaaaaa naaanzaje kumwambia afungue jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana shenzy wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nakucheka kichinaaa!!!pole sana haifunguliwi
Naomba hizo data unazokusanya ziwe mbayaa umpate mbea akumbelike kisawasawa!
Na PM haifunguliwii!!!
Shunie PM sifingui hata unipeleke kwenye ofa ya mishikaki 100
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nakucheka kichinaaa!!!pole sana haifunguliwi
Naomba hizo data unazokusanya ziwe mbayaa umpate mbea akumbelike kisawasawa!
Na PM haifunguliwii!!!
Shunie PM sifingui hata unipeleke kwenye ofa ya mishikaki 100
Pole!! The Don!Nakusubiri kwenye kijiwe chetu cha bucket, tukishakaa sawa nakwambia umnibembelezee afungue PM au ani-PM yeye nipate chanzo.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kama nawaona huko watoto wanavyopata shidaMwenzangu loooh!sina raha hata kidogo kaah!wakati tayari.....!!!anatosha!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikilewa naweza mshawishi mana zinakuwa akili za heinekenNakusubiri kwenye kijiwe chetu cha bucket, tukishakaa sawa nakwambia umnibembelezee afungue PM au ani-PM yeye nipate chanzo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kwangu ulishafika
Maombi yameshaisha dada si uliniaga uko unaenda kwenye maombiNini