Mwanaume Kujiamini ni Silaha Tosha Kwenye Mahusiano

Mwanaume Kujiamini ni Silaha Tosha Kwenye Mahusiano

Hii ni kwa wanawake pia ambao hawajiamini kwamba wanaweza kuwa na njemba mwenye muonekano au status A au B. Saa zote huwa na wasiwasi kwamba hapendwi na hata kuanza kujenga chuki dhidi ya KE wengine kisa tu ni
wasiwasi wake hao KE wengine wana mahusiano ya kimapenzi na mpenzi wake. KUJIAMINI KWENYE PENZI NI MUHIMU SANA.
Front huu utani wa ngumi ujue tehteh


Cc Smart911
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nakucheka kichinaaa!!!pole sana haifunguliwi

Naomba hizo data unazokusanya ziwe mbayaa umpate mbea akumbelike kisawasawa!

Na PM haifunguliwii!!!
Shunie PM sifingui hata unipeleke kwenye ofa ya mishikaki 100
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana shenzy wewe
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nakucheka kichinaaa!!!pole sana haifunguliwi

Naomba hizo data unazokusanya ziwe mbayaa umpate mbea akumbelike kisawasawa!

Na PM haifunguliwii!!!
Shunie PM sifingui hata unipeleke kwenye ofa ya mishikaki 100

Unanikumbusha zile swaga za over my dead body siwezi kuwa naye!

Baadae mambo yanakuwa mengine.

All in all, mmesema tujiamini, it's what am trying to practice.
 
Back
Top Bottom