Mwanaume Kujiamini ni Silaha Tosha Kwenye Mahusiano

Khakhakhaaaaaaakhakhakakhaaaaaaa mquoti tu no problem mamaa!! saivi nishazoea mie mwanzo ndo niliteseka kweli kweli muulize hata mwenyewe Smart911


Siunajua Ile kujishtukia rafiki but thanks God he proved me wrong..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nakutania miye namkoti panapobidi ila mazoea na waume za watu big noooooo

Wasi wasi ndo akili shogareee
 
Yalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] kama mimi tehteh nilikua najionaga kashamba kweli kakuja muulizeni Smart911




Cc Smart911

Hahaha... hujawahi kua mshamba mahondaw wangu...

Sometimes ni vile tu nikijumuika na wewe na rafiki zangu wengine...

Hahaha ati unaniulizaga... Smart911 hapa kweli hujakula hata demu mmoja kweli... daah jinsi walivyo...
 
Wanaume mna mambo ya hovyo. Tukienda kwa mwenye hela mnapenda hela tukienda kwa maskini tunagawa papuchi kwa hohehahe. Mnatuchosha bwana embu chagueni moja mnataka tuwaje

hahahaha wewe chagua lako ila if iwas a girl....papuchi yangu isingeliwa bure bure..
 
I do love my smart mimi jamaniii wacha tu yani this man is killing mioooooooo




Cc Smart911
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kupendwa ndio hukuu

Kupendwa kuheshimiwaa[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Hahaha... hujawahi kua mshamba mahondaw wangu...

Sometimes ni vile tu nikijumuika na wewe na rafiki zangu wengine...

Hahaha ati unaniulizaga... Smart911 hapa kweli hujakula hata demu mmoja kweli... daah jinsi walivyo...
 
Kiukweli mm mwenyewe Nina tatizo na watoto wazuri Kuna company moja naendaga masaki Kuna visu vikali Sana na mm ni supplier so naishia kuwasifia Sana
 
Ila huu wivu wa mzigua sijui wa nchi gani hata likes duhhhhhhhhhh [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]


Cc Smart911

Usimshagae Mzigua90

Hata wewe mahondaw wangu juzi kati ulinifungia vioo kisa... hahaha... wacha nikae kimya... ila uzuri i know your weakness and i know how to deal with you mpaka ulegeze...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…