Mwanaume Kujiamini ni Silaha Tosha Kwenye Mahusiano



Ni kweli....ila kuna wengine tunatongozwa bila kutegemea na ni raha kweli kutongozwa na mwanamke. Yaani utakuta mwanamke anakuwa na wasiwasi mpaka na wengine wanalia kwa kuhofia kukataliwa. Sijawahi kumkatalia mwanamke anayenitongoza ila natumia busara tu kuwasepa nisiowataka.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah!!shunie na huyu don uchwara hamna akili nyote

Shunie shunie!bebi wangu anaona ujue!!utanitafutia balaa miye!ntaishije mjini hapa!!
Sio Don uchwara huyo mzee wa bucket mwambie babe hapa ni chit chat asijali jamani
 
Tatizo lenu tukija kichwa kichwa mnatupiga za uso na mizinga juu, ndo maana inabid tutie huruma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…