Mwanaume Kujiamini ni Silaha Tosha Kwenye Mahusiano

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaha apunguze mafuta kidogo, unene sio mzuri
Na sie tunapata wnaaotupenda na mafuta yetu jamani. Bora ninenepe nikiwa na wewe ila najinenepea zangu afu uje eti pungua chief ina maana hukuona wembamba huko walokuvutia
 
Khaaaaaaa

Mwanangu kuwa uyaone.
 
Nimeishi na kusoma area c, but now nipo chuga/ Moshi. Plenty memories there, mlimwa shule ya msingi, kiwanja cha ndege, uwanja wa vijana, huo mlima kwa Prime Minister nimeupanda sana before huo mjengo.
Tatizo Dom jua kali balaa, sasa hivi green nzurii, ngoja jua ipige.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…