Mwanaume Kujiamini ni Silaha Tosha Kwenye Mahusiano

Mwanaume Kujiamini ni Silaha Tosha Kwenye Mahusiano

I know that Sakayo there is no need to worry to about us. You’re a very special lady in so many ways and always down to earth. I admire your good spirit and positive attitude.

Jamani
Asanteni kwa kampani yenu aki, huwa naenjoy kweli kuwa nanyi!! Yo my real family!!

BAK yo always be my beloved kaka no matter what!!! Always know dat, n take care of yourself for me!!
 
Wanaume huwa mnaamini mwanamke mwenye muonekano fulani hawezi kuwa na wewe. Kwa mfano mwenye kazi nzuri kukuzidi au mwenye mvuto unaohisi wewe humfai. Mnachokosea ni kwamba mwanamke akikupenda hata uwe muokopa makopo atakukubalia. Ukiwa unapiga sound usianze kutumia maneno ooh najua mimi sio level yako we mzuri sana wewe una kipato kunizidi wewe this wewe that blah blah. Nenda kwenye point sio kuanza kujilalamisha uonewe huruma. Mwanaume ukijiamini hata uweje utapata mwanamke unaemtaka. Kazi yako au muonekano wako hauhusiani na mapenzi yako.
Natamani huyu kaka alonipigia simu saa hizi asome hapa maana hata kama nilipanga kumkubali basi tena keshanikosa.
So, you are either super beautiful or super rich.... Congrats lady
 
Back
Top Bottom