Mwanaume Kujiamini ni Silaha Tosha Kwenye Mahusiano

Mwanaume Kujiamini ni Silaha Tosha Kwenye Mahusiano

Wembamba hawaonelewi sana kama sisi wanene. Yani sisi wanene ndo tuna shida. Mmoja huyo alianza bby kama upungue hivi nikamwambia bby kwani wembamba hukuwaona huko unapopita pita? Aliishia kucheka [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Bwana ona wivu kwanza wivu ni sunnah kwenye mahaba
Hahahahaha you know Kuna watu have got something extra ee mpaka unajiuliza hivi nilichelewa wapi mimi??? ila humu nishawazoea miye Kuna baadhi ya watu wanakushauri kama wemaaaaa.........


Cc Smart911
 
Back
Top Bottom