Hahahahaha kwa kweli wamenishangaza sana wababa na kuniogopesha pia
Wanawake wa Bongo wengi ombaomba lakini wakiombwa wao Keleleeeeeeeee. Kazi kweli kweli. na nyie mjitegemee kazi si mnafanya.?
Hata wewe kaka unatema povu la hivi du!
jamani wanaume waombajiombaji wamejaa tele mwaya sarafina bora ulivyosema na wanakeraje?
Nashangaa wanaume humu ndani nanyi mwaunga mkono hii hoja labda kama mpo hivyo. Huyu dada anamzungumzia mume/boyfriend wake, kama anashida hiyo si amweleze kuliko afike huku kulalamika. Yawezekana huyu dada amezoea kuchuna tu sasa anapoona ameishiwa na hana jinsi ndo anaanza kulalamika. Mabinti shida yenu mnajua kupokea tu mlio wengi hamjui kutoa, hata mkitoa mnahonga ili umwibie mumeo ndoa yake. Achen kulalama, mara nyingi mnalalamikiwa pamoja mnamishahara unakuta bado mwanaume anatoa kila kitu we hata mshahara wako haujulikani unafanyia nin. Jaman tuoneeni huruma na sisi ni watoto wa wanawake wezenu, sis ni binadamu. Utajisikiaje niende kuomba kwa mtu mwingine hitaji lolote ambalo ww unaweza nisaidia na mwisho wa siku ananikwida kwa kushindwa kulipa kwa tena mbele yako, au niibe ili kukuonyesha kuwa ninahela kumbe za kuiba na mwisho nikamatwe pengine niuawe au nifungwe nikukose. Uliyeweka thread hii plz rudi kwa huyo alikufanyia hivyo na ukaombe msamaha kwani umemkosea. Mbona nyiny mkitongozwa tu cku ya kwanza unaanza kuomba hela siku hiyohiyo na hatusemi, ebu achen kujilegeza. Hivi najiuliza lipi bora kusema ukweli au kuongopa? Ila niliwahi sikia kuwa mapenz ya ujanja ujanja na uongo ndo yanadumu ingawa kwangu mim imekuwa kinyume chake. Huyu dada naona amezoea kudanganywa ndo maana anapoambiwa ukweli hana labda hela au the like basi anaona analia lia. Ukiona mtu mzima analia uje kuna jambo, jaman hata hii mwanadada hujafikilia. Maisha kusaidiana haijaandikwa mwanaume amsaidie mwanamke tu. Naomba kuwasilisha kama nimkwaza yeyote naomba msamaha.
nashangaa wanaume humu ndani nanyi mwaunga mkono hii hoja labda kama mpo hivyo. Huyu dada anamzungumzia mume/boyfriend wake, kama anashida hiyo si amweleze kuliko afike huku kulalamika. Yawezekana huyu dada amezoea kuchuna tu sasa anapoona ameishiwa na hana jinsi ndo anaanza kulalamika. Mabinti shida yenu mnajua kupokea tu mlio wengi hamjui kutoa, hata mkitoa mnahonga ili umwibie mumeo ndoa yake. Achen kulalama, mara nyingi mnalalamikiwa pamoja mnamishahara unakuta bado mwanaume anatoa kila kitu we hata mshahara wako haujulikani unafanyia nin. Jaman tuoneeni huruma na sisi ni watoto wa wanawake wezenu, sis ni binadamu. Utajisikiaje niende kuomba kwa mtu mwingine hitaji lolote ambalo ww unaweza nisaidia na mwisho wa siku ananikwida kwa kushindwa kulipa kwa tena mbele yako, au niibe ili kukuonyesha kuwa ninahela kumbe za kuiba na mwisho nikamatwe pengine niuawe au nifungwe nikukose. Uliyeweka thread hii plz rudi kwa huyo alikufanyia hivyo na ukaombe msamaha kwani umemkosea. Mbona nyiny mkitongozwa tu cku ya kwanza unaanza kuomba hela siku hiyohiyo na hatusemi, ebu achen kujilegeza. Hivi najiuliza lipi bora kusema ukweli au kuongopa? Ila niliwahi sikia kuwa mapenz ya ujanja ujanja na uongo ndo yanadumu ingawa kwangu mim imekuwa kinyume chake. Huyu dada naona amezoea kudanganywa ndo maana anapoambiwa ukweli hana labda hela au the like basi anaona analia lia. Ukiona mtu mzima analia uje kuna jambo, jaman hata hii mwanadada hujafikilia. Maisha kusaidiana haijaandikwa mwanaume amsaidie mwanamke tu. Naomba kuwasilisha kama nimkwaza yeyote naomba msamaha.
hahahhahah, hawa hata lotion zenu mkiziweka pabaya wanazipiga ,
Nashangaa wanaume humu ndani nanyi mwaunga mkono hii hoja labda kama mpo hivyo. Huyu dada anamzungumzia mume/boyfriend wake, kama anashida hiyo si amweleze kuliko afike huku kulalamika. Yawezekana huyu dada amezoea kuchuna tu sasa anapoona ameishiwa na hana jinsi ndo anaanza kulalamika. Mabinti shida yenu mnajua kupokea tu mlio wengi hamjui kutoa, hata mkitoa mnahonga ili umwibie mumeo ndoa yake. Achen kulalama, mara nyingi mnalalamikiwa pamoja mnamishahara unakuta bado mwanaume anatoa kila kitu we hata mshahara wako haujulikani unafanyia nin. Jaman tuoneeni huruma na sisi ni watoto wa wanawake wezenu, sis ni binadamu. Utajisikiaje niende kuomba kwa mtu mwingine hitaji lolote ambalo ww unaweza nisaidia na mwisho wa siku ananikwida kwa kushindwa kulipa kwa tena mbele yako, au niibe ili kukuonyesha kuwa ninahela kumbe za kuiba na mwisho nikamatwe pengine niuawe au nifungwe nikukose. Uliyeweka thread hii plz rudi kwa huyo alikufanyia hivyo na ukaombe msamaha kwani umemkosea. Mbona nyiny mkitongozwa tu cku ya kwanza unaanza kuomba hela siku hiyohiyo na hatusemi, ebu achen kujilegeza. Hivi najiuliza lipi bora kusema ukweli au kuongopa? Ila niliwahi sikia kuwa mapenz ya ujanja ujanja na uongo ndo yanadumu ingawa kwangu mim imekuwa kinyume chake. Huyu dada naona amezoea kudanganywa ndo maana anapoambiwa ukweli hana labda hela au the like basi anaona analia lia. Ukiona mtu mzima analia uje kuna jambo, jaman hata hii mwanadada hujafikilia. Maisha kusaidiana haijaandikwa mwanaume amsaidie mwanamke tu. Naomba kuwasilisha kama nimkwaza yeyote naomba msamaha.
Pole sana DR. Uko miongoni mwa victims?
marioo tena wa lubumbashi.
Wanakuwa Marioo kwa sababu nyie ndo mnaofuga hizo tabia...... msilalame hapa wakiwaomba huko. Maana huwezi kukaa na mtu kwa mda bila kutomjuwa tabia yake kuwa hana uwezo wa kuwa baba wa familia (Hawezi kuhudumia). Pengine ndo tabia ya wadada kujidai wanajuwa ku-provide ili kuwateka wakaka (kitu ambacho akiwezekani ku-control mtu awe wako peke yako). Kwa hiyo mtowa mada asilalame anamjuwa vema B/F wake kitabia waendelee tu, kama inamkela hiyo tabia atafute ambaye siyo omba omba.
Kuna thread nzuri kaanzisha MJ1 sasa huyu kadandia treni kwa mbele... si unajua kuna watu na viatu??duh,mipasho ya facebook ime hamia JF,....
marioo tena wa lubumbashi.
Wanakuwa Marioo kwa sababu nyie ndo mnaofuga hizo tabia...... msilalame hapa wakiwaomba huko. Maana huwezi kukaa na mtu kwa mda bila kutomjuwa tabia yake kuwa hana uwezo wa kuwa baba wa familia (Hawezi kuhudumia). Pengine ndo tabia ya wadada kujidai wanajuwa ku-provide ili kuwateka wakaka (kitu ambacho akiwezekani ku-control mtu awe wako peke yako). Kwa hiyo mtowa mada asilalame anamjuwa vema B/F wake kitabia waendelee tu, kama inamkela hiyo tabia atafute ambaye siyo omba omba.
kuna wanaume wachunaji pia mkuu!!
kuna wanaume wachunaji pia mkuu!![/I]
Hiyo siyo tabia ya mwanaume halisi, ukikutana na wa hivyo basi ujuwe hana upendo wowote bali kukutumia tu. Ukiishiwa basi ujue anatafuta mdada mwingine wa kumtunza (tabia za kike hizi). Ukimpata wa hivyo basi soma alama za nyakati .....hafai kuwa hata baba
Wanaume mnaojiliza liza kama wanawake mnaboa sana, mnapiga mizinga kiasi kwamba mmetuzidi mpaka wanawake, mwanaume kama huna hela unatakiwa uonyeshe kwa vitendo na si kujiliza liza kama mmama, jikaze wewe mtoto wa kiume. Uko wapi uanaume wenu? mwakera sana ati
Sio wanaume wote ila, limeanza kuibuka kundi la wababa kazi yao akiwa na mpenzi basi kazi yake ni kupiga mizinga tu bila aibu, na hii tabia inaonekana kukua sana
Hapa ndipo nawashangaaga sana wanawake, Wanaume walipokuwa wanaombwa/kupigwa mizinga nyie mkaenda Beijing kudai hata nyie mnaweza kupigwa mizinga, wanaume wakakubali hilo na wakatokea wa kuwapiga mizinga sasa mnalalamika
hivi mnataka nini hasa, maana mmekuwa kama mkia wa mbuzi, hauvichi mk*ndu wala haufukuzi nzi upo upo tu