Kwa upande wangu nadhani Mwanamke ndio Muamuzi ya Yote Hata ukitumia Tricks za aina gani yeye akikubali ndio inakuwa bien
Sio siri wanawake ndio wanacontrol haya mambo akikupa kapenda tu wala si ujanja wako. unless uwe umemrubuni kwa influence flani.
Ujanja wa mwnaume hua unachangia tu ila sio sababu kamili ya mwanamke kukubali au kukataa.Ningekua sijachoka ningejibu kwa kirefu...mida!
Sawia kabisa! Pasipo na shuruti (shurti) basi mwanamke ndiye huwaga mwenye uamuzi wa mwisho ikija kwenye mahusiano ya kimapenzi.
Fikiria tu kwa mathalan, mwanamke mwenye mvuto wa kawaida kwa siku anatokewa mara ngapi? Sasa umewahi kujiuliza kama wale wote ambao wanatesti zali wangekuwa wanakubaliwa ingekuwaje? Si ingekuwa balaa!?
Lakini hayo yote hayatokei kwa sababu mwanamke anachagua nani wa kulala naye na nani wa kumpotezea. Ila ikumbukwe pia kwamba wapo wanawake wasiojua kusema hapana. Ma mama huruma. Siyo kwamba wanamkubalia kila mwanaume anayewatokea, la hasha. Ni kwamba katika wale wote ambao wanamtokea, anaowakubalia ni wengi zaidi ya wale anaowakatalia.
Sasa msije mkanikomalia kuwa nimeyajuaje yote hayo na mniombe ushahidi. Yote haya yanatokana na tajiriba yangu ya maisha kwani kila mtu ana yake na wengi wetu tuna hadithi kadhaa za kusimulia.
Huwa namheshimu sana mwanamke anaponipa kifirigisi chake nijishebedue na kujiliwaza na kutua mzigo wangu, na hata nilioachana nao nimeachana na sijawahi kuwahi kuwakebehi wala kuwatusi
Haha Kama Kweli! 🙂Mimi binafsi siamini kama ni suala la huruma au tricks,nachoamini mimi ni hisia ndizo zinacontroll mahusiano hivyo mwanamke anapomkubali mwanaume kiukweli anakuwa ameanza kuwa na hisia nae na si vinginevyo.sasa wewe njoo na tricks zako halafu umkute mwanamke hana hisia kabisa juu yako hakyanani utaimba haleluya ila kwa mapenzi ya siku hizi unaweza kukubaliwa tu ili uchunwe mwisho wa siku adabu ikukae!huku wee ukijiona mjanja kwa tricks zako!
Mmmhh!,...... are u serious na hiyo namba 3?Wanawake wa siku hizi asilimia kubwa hawajui kukataa na hasa unapokuwa na tripple C. Namaanisha
1. Cash
2. Car na
3. Cellular Phone.
<br />Nimetafakari Sana Kama ni uwezo wa Mwanaume kumhadaa mwanamke hadi akamkubali au mwanamke tu ndio akikubali ndio mambo yanaenda fresh, Kwa jinsi Matukio ya Maisha yaendavyo nimeona Mengi yanavyotokea kwa Watu. Kwani kuna Mwanamme anatongoza hata miaka kadhaa ndio anafanikiwa au anakosa kabisa.<br />
<br />
Kwa upande wangu nadhani Mwanamke ndio Muamuzi ya Yote Hata ukitumia Tricks za aina gani yeye akikubali ndio inakuwa bien
<br />Sawia kabisa! Pasipo na shuruti (shurti) basi mwanamke ndiye huwaga mwenye uamuzi wa mwisho ikija kwenye mahusiano ya kimapenzi.<br />
<br />
Fikiria tu kwa mathalan, mwanamke mwenye mvuto wa kawaida kwa siku anatokewa mara ngapi? Sasa umewahi kujiuliza kama wale wote ambao wanatesti zali wangekuwa wanakubaliwa ingekuwaje? Si ingekuwa balaa!?<br />
<br />
Lakini hayo yote hayatokei kwa sababu mwanamke anachagua nani wa kulala naye na nani wa kumpotezea. Ila ikumbukwe pia kwamba wapo wanawake wasiojua kusema hapana. Ma mama huruma. Siyo kwamba wanamkubalia kila mwanaume anayewatokea, la hasha. Ni kwamba katika wale wote ambao wanamtokea, anaowakubalia ni wengi zaidi ya wale anaowakatalia. <br />
<br />
Sasa msije mkanikomalia kuwa nimeyajuaje yote hayo na mniombe ushahidi. Yote haya yanatokana na tajiriba yangu ya maisha kwani kila mtu ana yake na wengi wetu tuna hadithi kadhaa za kusimulia.
Mtu ambae ni kiwembe hiyo ni sehemu ya kazi,...........mtu makini ngono ni tendo tu lakutimiza human nature, lakini sio unakwenda kuoga bafuni na kuvaa nguo za sikukuu kwenda kuwinda mabinti, mtu wa namna hiyo kwa dunia ya leo ni mshamba tu.<br />
<br />
Wewe unasema nini? Ujanja wa kidume una part kubwa sana. Kwanini viwembe ndio huchukuaga mizigo daily? Najua hata wewe utakua unakifahamu kidume kimojawapo kuwa huyo ukienda nae ligi kwa mwanamke yeyote yeye anakua na chance kubwa zaidi ya kung'oa mzigo. Huamini?