TheGodfather95
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 1,763
- 1,830
Aisee.. Sikuungi mkono... Hiyo salam ya Mambo inategemea na tone ya sauti..Ivi unajisikiaje kumsalimia mwanaume mwenzako mambo afu umebinya sauti??
Salamu za wanaume zinaeleweka (oiii ni gani, inakuaje) na zingine sasa unakuta mwanaume unatext mambo!!! Wenye tabia hizi badilikeni.
Basi usije nibania sautii.Aisee.. Sikuungi mkono... Hiyo salam ya Mambo inategemea na tone ya sauti..
Acha ushambaaaa....
Mtext mbongo my man!!!mnajiendekezaaWhat's up my man?!
How's it my guy?!
What's happening my soldier?!
Wazungu hadi wanaitana "man wangu" sisi kusema mambo imekua nongwa. Wabongo ni wanoko sana aisee.
Hii ndio point ya msingi.. Ungesema kubana sauti ungeeleweka sana, na sio kuja na theory za ajabu ajabu.. EboooBasi usije nibania sautii.
Ety my man aseee ikitokea siku anakula blockBora hata hiyo mambo.. Kuna hiyo dume zima linakuita my au wangu..!!
Kuna dume linabinyaa sautii 'ety mambooo 'hadi mwishoo afu mambo inasound kikee.[emoji23][emoji23]JOMBAA NANI UYO KAKUMINYIA SAUTI
Salam gani ipo kizunguu au za Ontario??ila we wa ajabu kweli,unakimbia utanzania unakimbilia uzungu...lakini kumbuka hutobadilika rangi
Inakuaje manMambo ni adje ninja, kamanda, nyani, kichaa, nk.
Tatizo sio kukusalimia mambo tatizo hayo mambo ya kulegezeana sauti huyo mpige makofi.