cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Bangi zinawaharibu vijana, kabisaa yaanUnafikiri kila mtu anavuta bangi kama wewe mtoa mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bangi zinawaharibu vijana, kabisaa yaanUnafikiri kila mtu anavuta bangi kama wewe mtoa mada
Sasa Ushoga hapa umeingiajee?
Uongooo!!Zamani ndio mlitumia mambo enzi zinabadilika sasa ivi mambo salamu ya kike kike.
Boraa umemuambia ukwelii.Mende anatabia ya kupenda mavi. Sasa mwanaume mwenzio unamwazia vibaya utakuwa una mawazo ya kisodoma. Ufala ni kudhania salamu ya mambo ina jinsia flani. Kwa uandishi wako tu naweza kukisia umri wako, ambao nastahili kukuita dogo. Hizo salamu za "oi ni gani" ni za watoto wanaojifunza usela. Wasela/Masela wenyewe wale gangstas wanawaita madogo wa dizaini yako MSELA MAVI. Yaani hao maskani/booth la majita hawakaribishwi na tabia zao za kishoga. Unaanzaje kumtamani mwanaume mwenzio kwa sababu ana sauti ndogo? watu wameumbwa na sauti tofauti.