chuganian
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 1,067
- 1,109
ohoo nimekuelewaMwanaume kutumia X badala ya S pia ni uboya. Ilibidi aseme "Nisubirie stand, nafika sasa hivi"
Anaandika kama mwanamke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ohoo nimekuelewaMwanaume kutumia X badala ya S pia ni uboya. Ilibidi aseme "Nisubirie stand, nafika sasa hivi"
Anaandika kama mwanamke.
Greatohoo nimekuelewa
Sasa kuna midume inabisha mambo si salamu ya kike.salamu ya kike sana hiyo hata demu wangu simsalimii "mambo"
Oi ni gan, inakuaje, mitikas, sijui baridaa! hizo si salama za mataja na wahuni wengine,Ivi unajisikiaje kumsalimia mwanaume mwenzako mambo afu umebinya sauti? Salamu za wanaume zinaeleweka (oi ni gani, inakuaje) na zingine sasa unakuta mwanaume unatext mambo! Wenye tabia hizi badilikeni.
We unasalimiwa vipi??Oi ni gan, inakuaje, mitikas, sijui baridaa! hizo si salama za mataja na wahuni wengine,
ukinisalimia hvyo naku chase away!
Spend ujinga!
Mkuu mambo?Ivi unajisikiaje kumsalimia mwanaume mwenzako mambo afu umebinya sauti? Salamu za wanaume zinaeleweka (oi ni gani, inakuaje) na zingine sasa unakuta mwanaume unatext mambo! Wenye tabia hizi badilikeni.
Wengine wanaandika "thijuiiiii"Au ile janaume zima linaandika "tyu" badala ya "tu". I mean.....WTF???????????
Mm nasalimiliwa good morning sir, good afternoon director!, good evening brother!We unasalimiwa vipi??
Hahaha .... aise!!! Naweza nikatulia kimya kumuepushia dhoruba.Wengine wanaandika "thijuiiiii"
Wahurumieni wenzenu jamani , malezi yamewa haribu teh teh tehHahaha .... aise!!! Naweza nikatulia kimya kumuepushia dhoruba.
Na vicheko vya "Hihihihi......" kwa mwanaume ni HAPANA!
Poah mtoto mzuri!!ehehhe si unaona inavonoga ikiwa jinsia mbili tofauti!!sasa mwanaume naanzaje mjibu mtoto mzuriMkuu mambo?
Spend = sipendi mkuu inaonesha we ni bongo bahati mbaya??Mm nasalimiliwa good morning sir, good afternoon director!, good evening brother!
Ukija na oi niaje! Nakulamba kibao cha uso!
Spend ujinga!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha .... aise!!! Naweza nikatulia kimya kumuepushia dhoruba.
Na vicheko vya "Hihihihi......" kwa mwanaume ni HAPANA!
HahahaIvi unajisikiaje kumsalimia mwanaume mwenzako mambo afu umebinya sauti? Salamu za wanaume zinaeleweka (oi ni gani, inakuaje) na zingine sasa unakuta mwanaume unatext mambo! Wenye tabia hizi badilikeni.
Spend = sipendi mkuu inaonesha we ni bongo bahati mbaya??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mambo ni adje ninja, kamanda, nyani, kichaa, nk.
Tatizo sio kukusalimia mambo tatizo hayo mambo ya kulegezeana sauti huyo mpige makofi.
Umepotelea wapii weyeee??Niaje muraa