Mwanaume kumsalimia mwanaume mwenzako mambo ni dalili mbaya

Mwanaume kumsalimia mwanaume mwenzako mambo ni dalili mbaya

Wozaer.. Arje.. Oi.. Mambo vepe kichaa angu.. Ila akisema mambo akiwa amekaza sauti fresh
 
Ivi unajisikiaje kumsalimia mwanaume mwenzako mambo afu umebinya sauti? Salamu za wanaume zinaeleweka (oi ni gani, inakuaje) na zingine sasa unakuta mwanaume unatext mambo! Wenye tabia hizi badilikeni.
Ha ha ha oi nimependa hapo ni ke
 
Dogo tunampoteza huyu! Mambo haijawahi kuwa salamu ya jinsia flani. Sema wewe ushamuwazia vibaya mwanaume mwenzio una vinasaba vya mende mpenda choo. Acha hizo au umetoka kijijini juzi? Sio wote wana salamiana "Oi", n.k. Usikalili kijana.
 
Dogo tunampoteza huyu! Mambo haijawahi kuwa salamu ya jinsia flani. Sema wewe ushamuwazia vibaya mwanaume mwenzio una vinasaba vya mende mpenda choo. Acha hizo au umetoka kijijini juzi? Sio wote wana salamiana "Oi", n.k. Usikalili kijana.
watoto siku hizi wanawaza ngono tu,hata wakikuta mama zao wanasugua sufuria wanapga hesabu za pampu,tumeanza kutumia salamu ya mambo mwaka 1990,ni sisi baba zenu wa kambo na si mama zenu waloanzisha hyo salamu
 
Ivi unajisikiaje kumsalimia mwanaume mwenzako mambo afu umebinya sauti? Salamu za wanaume zinaeleweka (oi ni gani, inakuaje) na zingine sasa unakuta mwanaume unatext mambo! Wenye tabia hizi badilikeni.

Hahahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wa koromoje huyo
 
Dogo tunampoteza huyu! Mambo haijawahi kuwa salamu ya jinsia flani. Sema wewe ushamuwazia vibaya mwanaume mwenzio una vinasaba vya mende mpenda choo. Acha hizo au umetoka kijijini juzi? Sio wote wana salamiana "Oi", n.k. Usikalili kijana.
Hiyo 'Dogo tunampoteza huyu' kama unanijua....
Mende katoka wapi kama si ufala??
Kijijini ningekuwa nasalimia mambo kama wewe..
Usikalili=usikariri.
NB.mambo ni salamu ya kike pure kama bado unamsalimia mwanaume mwenzako mambo acha!
 
watoto siku hizi wanawaza ngono tu,hata wakikuta mama zao wanasugua sufuria wanapga hesabu za pampu,tumeanza kutumia salamu ya mambo mwaka 1990,ni sisi baba zenu wa kambo na si mama zenu waloanzisha hyo salamu
Qualification za kuwa baba wa kambo HUNA
Mama hawezi vumilia anakuona unamsalimia mwanamme mwenzako mambo!!
 
Au Akisema Mambo Aongezee Vipi.Like MAMBO VIPI MZEE. Yani Anaulizia Maisha Yanaendaje Ila Sio "Mambooooo"
Manina Ntakuzingua Mambo Ya KiJamesDelishiaz Hayo
Si mambo kavu inasound kike haswaaa.
 
Qualification za kuwa baba wa kambo HUNA
Mama hawezi vumilia anakuona unamsalimia mwanamme mwenzako mambo!!
mambo salamu ya wanaume,habari yako ndo ya akina mama,zamani tuliotumia 'mambo' tulionekana wahuni
 
Mende katoka wapi kama si ufala??
Mende anatabia ya kupenda mavi. Sasa mwanaume mwenzio unamwazia vibaya utakuwa una mawazo ya kisodoma. Ufala ni kudhania salamu ya mambo ina jinsia flani. Kwa uandishi wako tu naweza kukisia umri wako, ambao nastahili kukuita dogo. Hizo salamu za "oi ni gani" ni za watoto wanaojifunza usela. Wasela/Masela wenyewe wale gangstas wanawaita madogo wa dizaini yako MSELA MAVI. Yaani hao maskani/booth la majita hawakaribishwi na tabia zao za kishoga. Unaanzaje kumtamani mwanaume mwenzio kwa sababu ana sauti ndogo? watu wameumbwa na sauti tofauti.
 
Back
Top Bottom