Mwanaume kumsalimia mwanaume mwenzako mambo ni dalili mbaya

Mwanaume kumsalimia mwanaume mwenzako mambo ni dalili mbaya

Jifunzeni kusalimia kama wanaume.... 'habari za kazi' au 'habari za mihangaiko' au 'habari za asubuhi/saa hizi'
hapana kuna mashaka...hizi zako huwa nazisikia kutoka kwa wanawake....wakiwambia waume zao....
 
au dume zima lina sharubu linakutext "xaxa uko wp au xafi niko frexh"kweli unaweza kutuxi mtu
 
Hapa kuna wazee na vijana wanabishania salamu.. Mtu ana miaka 45 unamsalimu " niaje mchizi"?. What an idiot character!
 
complications tu za wabongo.

Una mind vitu vidogo sana, its not really a big deal !

mambo, oi, vipi, kwema !!!

Whatever.

No big deal !!!!!
 
Back
Top Bottom