kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Hili sasa ni tatizo jipya.. ebu rudia rudia kusoma ulichoandika
Huyo teyari kwenye mtandao[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili sasa ni tatizo jipya.. ebu rudia rudia kusoma ulichoandika
Unafikiri kila mtu anavuta bangi kama wewe mtoa mada
Dah hyo kweli kuna jamaa uwa ananitext whtsap Hvo hvo yan.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Karne ya 22 dunia nzima itakuwa wanawake
Mm ukianza tu oya, niaje mchiz au Mzee sijui vip mitikas nakuweka kwenye kundi la wahuni tu kama wahuni wengineNikisema oya mambo niaje mzee.. hapo vipi
Kwauchunguzi upi[emoji20]Karne ya 22 dunia nzima itakuwa wanawake
Acha zako weweIvi unajisikiaje kumsalimia mwanaume mwenzako mambo afu umebinya sauti??
Salamu za wanaume zinaeleweka (oiii ni gani, inakuaje) na zingine sasa unakuta mwanaume unatext mambo!!! Wenye tabia hizi badilikeni.
aseee hizo ni lugha za vijana tuu hazina maana yoyote ya uhuni mkuuMm ukianza tu oya, niaje mchiz au Mzee sijui vip mitikas nakuweka kwenye kundi la wahuni tu kama wahuni wengine
Wa twawezaKwauchunguzi upi[emoji20]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora hata hiyo mambo.. Kuna hiyo dume zima linakuita my au wangu..!!