Inaruhusiwwa kwa majina yanayo anzia na herufi j tu tofauti na herufi j ni ukhanithiWakuu,
Leo nimepigwa na butwaa kuona mwanaume anamuita mwanaume mwenzie 'P'. Jamani kumwita mtu kwa herufi ya kwanza ya jina lake ni kama kujibebisha fulani.
Mwanaume unafungua kinywa kabisa unamuita mwanaume mwenzio "D" au "J"? Kweli?
Mwanaume kaza kidogo. Huwezi kukosa nguvu ya kutaja jina zima.
Mi sioni big deal hapoHahahaaa. Kaazi kweli kweli.
Ila kimjini mjini kila wanalofanya wanawake na baadhi ya wanaume huwa wanajikuta wanatamani tu kufanya na wao.
Mkuu kama sijakuelewa vile! kwanini iruhusiwe kwa majina yanayoanzia na j tu na si mengineyo? kuna siri gani kwenye hiyo herufi?Inaruhusiwwa kwa majina yanayo anzia na herufi j tu tofauti na herufi j ni ukhanithi
Hahahaaa. Mleta uzi ndio kaona sio.Mi sioni big deal hapo
[emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]uanaume ni mgumu kila kitu kinapigwa
utaambiwa hata kuchambia maji utaambiwa wanawaume hatakiwi hivyo aseleleke tu kwenye majani
Yani unamwita mwanaume mwenzio kws heruf moja?? Kama ni aka yake sawa ila sio kutamka kabisa eti H mamboHahahaaa. Mleta uzi ndio kaona sio.
Ila kwani kutamka neno zima kuna gharama gani au ndio Swaga?