Mkuu umeumia sana najua ila kufupisha jina ni kujibebisha. Mimi hubby namuita jina lote tukiwa serious ila kitandani nafupisha tena sharti natamkia puani. Haloooooooooooooooooooooooo!Kama wanaume kuita jina kwa herufi moja ni kujibebisha kwahiyo na wanawake wakimuita mtu jina lake kwa kirefu, yaani jina kamili nao wanakua wanajifananisha na wanaume? nawaza tu teh! teh!
Hahaha sawa mkuuWaache kujibebisha bwana. Eti T, yaani picha ninayoipata ni hadi jicho limerembuliwa
Ha ha ha ha QQQQWakuu,
Leo nimepigwa na butwaa kuona mwanaume anamuita mwanaume mwenzie 'P'. Jamani kumwita mtu kwa herufi ya kwanza ya jina lake ni kama kujibebisha fulani.
Mwanaume unafungua kinywa kabisa unamuita mwanaume mwenzio "D" au "J"? Kweli?
Mwanaume kaza kidogo. Huwezi kukosa nguvu ya kutaja jina zima.
Hahahaa! niumie kwa lipi aisee!? kwanza sina tabia hiyo ila nauliza maswali tu ili kuleta ulinganishi kwenye mada yako,au hutaki nikusapoti kwa kujazia jazia mada yako?Mkuu umeumia sana najua ila kufupisha jina ni kujibebisha. Mimi hubby namuita jina lote tukiwa serious ila kitandani nafupisha tena sharti natamkia puani. Haloooooooooooooooooooooooo!
Mkuu mambo mengine potezea tu, wabongo ndio kipaji walichonacho kuchunguzana tu huku hawana kazi ya kufanyaKwani uanaume wa mtu unapimwa kwa kutizamwa vitu gani?
Mtujuze aisee wengine tunaishi vijijini ndani ndani sana!
Kweli mkuu,halafu nimewaza hivi mtu unapataje muda wa kuchunguza vitu kama hivi?Mkuu mambo mengine potezea tu, wabongo ndio kipaji walichonacho kuchunguzana tu huku hawana kazi ya kufanya
Hahahaa! niumie kwa lipi aisee!? kwanza sina tabia hiyo ila nauliza maswali tu ili kuleta ulinganishi kwenye mada yako,au hutaki nikusapoti kwa kujazia jazia mada yako?
Have a good day.Sina kazi, sina majukumu. Niko tu na simu na bundle...
Kula like mkuuuanaume ni mgumu kila kitu kinapigwa
utaambiwa hata kuchambia maji utaambiwa wanawaume hatakiwi hivyo aseleleke tu kwenye majani
Nakuja, niagizie Kokakola na bisibisi tafadhali, nitalipa 😛ngoja niwahi siti.
Eeh kumbe! Basi uanaume ni kazi.Wanaoita hivyo mara nyingi wanakua wangese au hawana marinda
Northern Republic hahahahaha nakuelewa sana mimiWakuu,
Leo nimepigwa na butwaa kuona mwanaume anamuita mwanaume mwenzie 'P'. Jamani kumwita mtu kwa herufi ya kwanza ya jina lake ni kama kujibebisha fulani.
Mwanaume unafungua kinywa kabisa unamuita mwanaume mwenzio "D" au "J"? Kweli?
Mwanaume kaza kidogo. Huwezi kukosa nguvu ya kutaja jina zima.