Mwanaume kuomba msamaha kwenye Mapenzi ni udhaifu

Mwanaume kuomba msamaha kwenye Mapenzi ni udhaifu

rikiboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
21,952
Reaction score
43,265
Mapenzi yana nguvu sana hasa kama Hujawahi kuumizwa, lakini katika Makosa yote mtu hasa mwanaume anaweza kuyafanya kwenye mahusiano bhasi ni KUOMBA MSAMAHA kwa kosa ambalo sio lako ili mradi tu usimpoteze mwanamke ulienae ni Uboya wa kiwango cha lami.

Omba msamaha kwa kosa ulilofanya sio manzi kazingua alafu wewe unaanza kutetemeka hata kama ndo Kujua mapenzi ukubwani wanaume kamili hafanyi hivyo na ukifanya hivyo Huyo mwanamke atazidi kukudharau japo najua wapo wengi waliowahi kufanya hivyo na wengine bado wanafanya hivyo. Sio manzi tu hata Mkeo akikosea yeye ndo atetemeke na kuomba msamaha acha kupalilia penzi lililokufa.

Imeishaaa hiyo.....

Pia, slma Ukimkosea Mwanamke usimwombe msamaha, piga kimya. Ukiomba msamaha ndio umeanzisha vita
 
Sio kweli boss... Ukitaka uenjoy mapenzi kusiwe na kushindana kwa nguvu ( kusiwe na mmoja kujiona ana nguvu zaidi ya mwenzake ). Elewa mpenzi wako na wewe mnaishi kwa kutegemeama... umekosa omba msamaha, amekosa aombe msamaha aseme samahani
 
Kama umefanya kosa haijalishi ni kwa nani kuomba msamaha hakupunguzi kitu.

Mm nikikosea huwa naomba msamaha hata kama mtu ni mdogo kwa umri kwangu. Kuna watu hawajui kuomba msamaha anafanya kosa halaf kesho anakusemesha kama hamna tatizo huwa sijibu.
 
Jamaa kasema Mwanaume usiombe msamaha kwa kosa la mkeo/Demu wako. Na yuko sahihi.

Wanawake wengi hawapendi kukosolewa. Akikosea ukamzingua, anakasirika na kutaka kuonesha kwamba wewe sio mwelewa hata kama alichokifanya ni cha kijinga.

Mwanaume usiingie mtego huo. Ipo siku demu atakunyea kichwani hivi hivi afu mwisho wa siku uombe msamaha kwa kumtia adabu.
Sio kweli boss... Ukitaka uenjoy mapenzi kusiwe na kushindana kwa nguvu ( kusiwe na mmoja kujiona ana nguvu zaidi ya mwenzake ). Elewa mpenzi wako na wewe mnaishi kwa kutegemeama... umekosa omba msamaha, amekosa aombe msamaha aseme samahani
 
Sio kweli boss... Ukitaka uenjoy mapenzi kusiwe na kushindana kwa nguvu ( kusiwe na mmoja kujiona ana nguvu zaidi ya mwenzake ). Elewa mpenzi wako na wewe mnaishi kwa kutegemeama... umekosa omba msamaha, amekosa aombe msamaha aseme samahani
Mkuu, naona mtoa mada amebase more kwenye suala LA mwanamume kuomba msamaha hata pasi na kosa, ety kupalilia penzi.. Amesema unaweza kuomba msamaha pale panapooneka obvious umekosa..
Ila misamaha/radhi za kiboyaboya mwisho Leo..
Nami nalikubali hilo, kwanza hawa wanawake ukijifanya kulialia kwao ndo wanazidi kukutesa
 
Kuna mambo yanasikitisha sana...

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...


Cc: mahondaw
 
Mwanaume haombi msamaha kwa Mpenzi/Mke wake! Bali tunamaliza kesi/ugomvi.

Msamaha utaombwa kesi ikifika kwa paroko au shehe!
 
Mkuu, naona mtoa mada amebase more kwenye suala LA mwanamume kuomba msamaha hata pasi na kosa, ety kupalilia penzi.. Amesema unaweza kuomba msamaha pale panapooneka obvious umekosa..
Ila misamaha/radhi za kiboyaboya mwisho Leo..
Nami nalikubali hilo, kwanza hawa wanawake ukijifanya kulialia kwao ndo wanazidi kukutesa

Pia unaweza omba msamha hata kama hujakosea, ili kuweka mambo sawa.. then amani ikiwepo sasa ndio mnakaa mnaongea vizuri
 
Mkuu, naona mtoa mada amebase more kwenye suala LA mwanamume kuomba msamaha hata pasi na kosa, ety kupalilia penzi.. Amesema unaweza kuomba msamaha pale panapooneka obvious umekosa..
Ila misamaha/radhi za kiboyaboya mwisho Leo..
Nami nalikubali hilo, kwanza hawa wanawake ukijifanya kulialia kwao ndo wanazidi kukutesa
Sana mkuu unajua unaokoa Penzi kumbe unazidi kuonekana falaa..
 
Back
Top Bottom